Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.


Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Wewe Ni mpumbavu usiye na akili,hata video hujaisikiliza..

Yule mtu wenu alikuwa mjinga tuu ndio maana hata case ya Masai ilimshinda..

Hata Hilo Samia ataliweza na umesikia hapo ameanza kuweka maker posts kwenye mpaka na kafuta Vijiji vya kutosha.
 
Mbona mnamkuza sana JPM kwamba wakati wake hakukua na untouchables? Nchambi si akikamatwa na bunduki za kutosha na meno ya tembo vipi mbona alitoka uraini kwa faini ndogo tu!!!

Mwanyika alipewa ubunge kabisa licha ya kesi juu ya ushiriki wake kwenye kutorosha Makinikia!!
Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.


Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
 
Hapo ndio tutamkumbuka JPM, hakukuwa na untouchable!
Ila hii sirikali ya kimama mmmh
Acha zako hizo, waliotorosha Makinikia si walitajwa na kamati mbona hakuna aliyekamatwa? Waliobeba pesa za Tegeta Escrow nani alikamatwa? Kesi ya Tanzanite one Kuna fisadi Gani wa CCM alikamatwa?

CCM wanalindana miaka yote kama isingekua hivyo Ile ripoti ya Bashiru ingesomwa hadharani na JPM mbona aliufyata??
 
Back
Top Bottom