Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ni mpumbavu usiye na akili,hata video hujaisikiliza..Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Huwa hamkosekani watu dizaini yakoBalile ni mnafiki na mpenda sifa.
Toto la kinyakiKangi mbombo ngafu
Kwani ukiogopa ndio hufi? Ni salama kwake kuongea hadharani kuliko kuandikaHuyu jamaa haogopi kukolimbwa!!!!!
Hili lilimshinda vipi? Kwa Nini Hawa hakuwagusa?Hapo ndio tutamkumbuka JPM, hakukuwa na untouchable!
Ila hii sirikali ya kimama mmmh
Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Mjinga Mmoja wewe, weee umeusikiliza video ??Wewe Ni mpumbavu usiye na akili,hata video hujaisikiliza..
Yule mtu wenu alikuwa mjinga tuu ndio maana hata case ya Masai ilimshinda..
Hata Hilo Samia ataliweza na umesikia hapo ameanza kuweka maker posts kwenye mpaka na kafuta Vijiji vya kutosha.
Acha zako hizo, waliotorosha Makinikia si walitajwa na kamati mbona hakuna aliyekamatwa? Waliobeba pesa za Tegeta Escrow nani alikamatwa? Kesi ya Tanzanite one Kuna fisadi Gani wa CCM alikamatwa?Hapo ndio tutamkumbuka JPM, hakukuwa na untouchable!
Ila hii sirikali ya kimama mmmh
Yamefanyika hata kabla shetani Magufuli hajawa Rais na yeye alibaki akikodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango!Tukubali au tusikubali, JPM alikuwa CHUMA, ndo maana haya madudu hayakufanyika wakati wake.
Hata Dr Mpango hatothubutu kuwagusa , ndio wafadhili wakubwa wa ccm , ninawajua wanne .wanao jiita CDE M-NEC karibu wote wamewekeza hapo, na wakuu wa kada fulani
Umemtumia kiungo gani cha mwili wako kufikiri hivyo?Balile ni mnafiki na mpenda sifa.
HujielewiYamefanyika hata kabla shetani Magufuli hajawa Rais na yeye alibaki akikodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango!
Labda kama umezaliwa jana , unazifahamu sababu za Channel 10 kuwa mali ya ccm ?Lini utaacha upumbavu wako?[emoji706][emoji706]
Channel ten ilirudi CCM kwa kazi ya kina BASHIRU ALI kuhakiki mali za chama si vinginevyo,acha kupotoshaLabda kama umezaliwa jana , unazifahamu sababu za Channel 10 kuwa mali ya ccm ?
Halafu mbona hilo jambo halikuwa la siri ! kila mtu mwenye macho aliona
Tutamshukuru akiwadhibiti hao 12.Ashukuriwe Rais Samia kwa kurejesha Uhuru wa maoni mpaka watu wanafunguka bila hofu..