Kwa watu wanaopakatwa kama wewe huwezi kuelewa!Hujielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watu wanaopakatwa kama wewe huwezi kuelewa!Hujielewi
Wale Waburushi wapo toka enzi za JK. Mmojawapo amewahi kuwa mbunge na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya. Hakuna jipya ccm,serikali isilolijuaUtakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
JPM ndiye aliamua Nchambi alipe hiyo faini ndogo?!Mbona mnamkuza sana JPM kwamba wakati wake hakukua na untouchables? Nchambi si akikamatwa na bunduki za kutosha na meno ya tembo vipi mbona alitoka uraini kwa faini ndogo tu!!!
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Nchi haiwezi kutetemeka kwa hawa wanaovunja sheria!Je hamkuwahi kuambiwa kuna watu wakiguswa nchi itatetemeka?
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Sio mbunge ni aliekuwa mbunge 2015-2020Nadhani familia ya kwanza ni ya yule Mbunge wa Mbarali na Mwenyekiti wa zamani CCM Mkoa wa Mbeya,Mullah
Linalindwa na tanapa kwasasaKulinda hili bonde ni kuanzisha jesho lilinde kama vile tanapa, tfs, ncaa, n.k.
Do punguza hasira ndugu ,unatariajia kujifungua liniYamefanyika hata kabla shetani Magufuli hajawa Rais na yeye alibaki akikodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango!
The Rise of Msoga Kingdom!Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Kwaiyo Rostam angelifungwa wewe ungenifaika nini? Sinibora alivyohongwa Chanel 10, Sasahivi inalingizia taifa mapato, juzi kuna Mchina amekamatwa ameua tembo zaidi ya 500 amehukumiwa kifungo cha miezi 6 au kulipa faini ya laki tano.Hakuwa na lolote yule jamaa , mdogo wa Rostam Aziz alipodakwa na Makontena ya meno ya tembo pamoja na mibunduki kadhaa ya kivita , Jiwe alikubali Rushwa ya Channel 10 ili yaishe.
Umesahau hili ?
vipi
Nyinyi ndio mlianza kupiga kelele kuwa Magufuli alikuwa anachuki na matajiri,hadi akina Lugemalira na Set walipokamatwa na kutiwa ndani kelele zilikuwa nyingi kuwa walionewa,nenda kaulize Samia watu Mia nne aliowachia baada ya kifo cha Magufuli ni akina nani kama,Sio hao akina Kitila waliokuwa wakiiba fedha za Serikali kupitia ofisi zao za mfukoni.Acha zako hizo, waliotorosha Makinikia si walitajwa na kamati mbona hakuna aliyekamatwa? Waliobeba pesa za Tegeta Escrow nani alikamatwa? Kesi ya Tanzanite one Kuna fisadi Gani wa CCM alikamatwa?
CCM wanalindana miaka yote kama isingekua hivyo Ile ripoti ya Bashiru ingesomwa hadharani na JPM mbona aliufyata??
Uhuru wa maoni ulikuwa enzi za Kikwete ila Kikwete akaishia kuwa rais dhaifu, uhuru wa maoni umerudi tena sasa sijui Samia naye atakuwa rais dhaifu pia au atakuwa anachukua maamuzi magumu pale anapotakiwa kufanya hivyo ili asiwe dhaifu?Ashukuriwe Rais Samia kwa kurejesha Uhuru wa maoni mpaka watu wanafunguka bila hofu..
Mh. Mpango awe makini.Balile binafsi nimekupa heshima ya pekee kwa hili.
Hilo neno "mjinga" mbona unalirudia sana mkuu?Hili lilimshinda vipi? Kwa Nini Hawa hakuwagusa?
Yule mtu wenu alikuwa Ni mjinga tuu aliyefanya visasi na sio Mambo ya Msingi Kama haya..
Mbinga ya Masai ilikuwa inaharibiwa na mifugo anashangaa tuu.
Whatever the case hoja hapa ni kwamba untouchables walikuwepo hata kipindi Cha JPM. Huyo Mwanyika si JPM alisema kasababisha Tumeibiwa Makinikia ya matrillion ila faini less than 1 Billion!!JPM ndiye aliamua Nchambi alipe hiyo faini ndogo?!
Sasa JPM alimfunga nani Kila mtu pesa ilikua inaongea? Nchambi na Mwanyika walikua na kesi za mabilion ila wakalipa fine chini ya 1% walioiba!! utadhani madhara yaliyoletwa na ufisadi yanakua solved kwa pesa pekee.Nyinyi ndio mlianza kupiga kelele kuwa Magufuli alikuwa anachuki na matajiri,hadi akina Lugemalira na Set walipokamatwa na kutiwa ndani kelele zilikuwa nyingi kuwa walionewa,nenda kaulize Samia watu Mia nne aliowachia baada ya kifo cha Magufuli ni akina nani kama,Sio hao akina Kitila waliokuwa wakiiba fedha za Serikali kupitia ofisi zao za mfukoni.
Nimemsikiliza ndugu yangu Balile! Kwa aliyosema ni mambo mazito yanayofanya kama Taifa tujiulize mamlaka zetu hasa za usalama wanamuogopa nani kwenye ulinzi wa rasilimali zetu?
Balile binafsi nimekupa heshima ya pekee kwa hili.