Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Bonde la Ihefu limeharibika kabla hata Magufuli hajawa RaisUtakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Magufuli alichoweza ni kuua na kufunga tu watu wa Chadema, hakuweza kingine chochote