Akikupa jibu uni-tagUnataka kuona picha ya mume wako akiwa Ruaha?
Mbona hakujenga tuta na fedha za World Bank zipo kwa zaidi ya miaka 6!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikupa jibu uni-tagUnataka kuona picha ya mume wako akiwa Ruaha?
Mbona hakujenga tuta na fedha za World Bank zipo kwa zaidi ya miaka 6!
Kwani wewe unasemaje? Tuanzie kwako.Tuache siasa. Tupeni nukuu ya utafiti unaoonyesha kishindo cha mifugo hususani ngombe huathiri mtiririko wa asili wa maji kwenye mito au cachment area. Research ilifanyika wapi duniani au Afrika?
Huyu mwandishi wa habari anatufaa
Nchi ngumu hii mkuuKwahiyo unamtisha law kukukumbusha ya wenzie?
Mwisho wa akili yako ni kuolewa na kua na mume. Nakuombea utimizie hiyo ndoto yakoMuulize mumeo
Kwani wewe unasemaje? Tuanzie kwako.
Kwani wewe unasemaje? Tuanzie kwako.
Halafu kwa kweli kwenye nchi hii, hakuna watu ambao mimi huwa ninawaamini kama mabaka mabaka. Mama awape baadhi ya miradi korofi waisimamieNiliwahi kuandika SIJUI ni I'd hii au nyingine kwamba"MIRADI YA SERIKALI ISIMAMIWE NA DOLA WANASIASA WAMESHINDWA"
Mradi wa ihefu ungesimamiwa na Mabaka baka ujinga kama huu tusingeuona hata hizo familia 12 zisingesogea,lakini KWASABABU mradi ipo chini ya WANASIASA tena wanaongozwa na itikadi ya vyama vyao Basi hayo ni Halali yetu!!
Genge 12 na si familia.Nadhani familia ya kwanza ni ya yule Mbunge wa Mbarali na Mwenyekiti wa zamani CCM Mkoa wa Mbeya,Mullah
Ukiskia M,NEC sijui kada maarufu ujue ni mtu mwenye chimbo lake la kufyonzea asali, hao ni watu hatari hawagusiki:Hata Dr Mpango hatothubutu kuwagusa , ndio wafadhili wakubwa wa ccm , ninawajua wanne .
Usisahau kuwaomba mahoka wamuwekee uzio maana amegusa mboni ya jicho ya shetaniAna backup
Ni kinyume na Katiba na sheria za nchi.Halafu kwa kweli kwenye nchi hii, hakuna watu ambao mimi huwa ninawaamini kama mabaka mabaka. Mama awape baadhi ya miradi korofi waisimamie
Ni kinyume na Katiba na sheria za nchi.Halafu kwa kweli kwenye nchi hii, hakuna watu ambao mimi huwa ninawaamini kama mabaka mabaka. Mama awape baadhi ya miradi korofi waisimamie
Kuhusu nini, hela za matibabu ya mama kule nje ya nchi?Ni kinyume na Katiba na sheria za nchi.
Tupate katiba mpya mambo yataenda vyema.
Umesahau ya Hans Kitine?
Big-up Balile!Huyu mwandishi wa habari anatufaa
.....na yule aliyekuwa NIDA nani vile?Kuhusu nini, hela za matibabau ya mama kule nje ya nchi?
Wizara ganiU are fixed na umejaa,
Mwandishi amepewa mission,
Mlengwa ni Mashimba Ndaki ndo hatakiwi Kwa wizara hiyo.
CCM tangu lini wakawa WAKWELI???
YumoNaniliu sijui kama atakosekana humo🐒