Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
Zamani kidogo kama miaka 15 nyuma ukisikia msiba mara nyingi unakuta ni mtu pamoja na kuwa mzee wa walau zaidi ya miaka 65 ila utakuta hata ukimuangalia utaambiwa kabisa bwana huyu alikuwa mgonjwa wa ugonjwa ABCDE na hata ukimuangalia marehemu unakuta kweli kachokaa, yaani magonjwa yamempiga kweli kweli.
Sasa aisee hii miaka ya karibuni, tena karibuni zaidi, kumekuwa na trend ya vifo vingi vya watu tena wengi wao ni pungufu ya miaka 50, na ukiwaangalia unaweza kuona mtu kapost status wiki iliyopita whatsapp, meaning hakuwa kwenye hali ya ugonjwa wa kumweka kitandani. Maana yake ni vifo vya ghafla bin vuu.
Kingine pia, wanaokufa yaani hata kwa watu waliokutana nao na hata picha zao yaani hawaonekani kuwa na shida, miili imenona, mashavu yapo na nyuso zenye tabasamu.
Najua humu ni great thinkers kwamba mna uwezo wa kuangalia mambo beyond awareness.
Hii inaweza kuwa ina maana kwamba rika la kati ya miaka 30 mpaka 55 hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi ambao ndani ya miaka 5 kutoka sasa tunaweza kuwapoteza kwa ghafula zaidi ya asilimia 30? Kama ikitokea, si itakuwa na athari kwenye labor force na economic growth? Na je family sustainability ya Tanzania itakuwa kwenye hali gani ikiwa umri wa wababa na wamama wa familia wanaangamia kwa wingi?
Aisee watu wanakufa kwa speed ya mwanga, wakitabasamu usoni, je huu ni mwanzo wa mwenendo mpya wa watu kufariki?
Sasa aisee hii miaka ya karibuni, tena karibuni zaidi, kumekuwa na trend ya vifo vingi vya watu tena wengi wao ni pungufu ya miaka 50, na ukiwaangalia unaweza kuona mtu kapost status wiki iliyopita whatsapp, meaning hakuwa kwenye hali ya ugonjwa wa kumweka kitandani. Maana yake ni vifo vya ghafla bin vuu.
Kingine pia, wanaokufa yaani hata kwa watu waliokutana nao na hata picha zao yaani hawaonekani kuwa na shida, miili imenona, mashavu yapo na nyuso zenye tabasamu.
Najua humu ni great thinkers kwamba mna uwezo wa kuangalia mambo beyond awareness.
Hii inaweza kuwa ina maana kwamba rika la kati ya miaka 30 mpaka 55 hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi ambao ndani ya miaka 5 kutoka sasa tunaweza kuwapoteza kwa ghafula zaidi ya asilimia 30? Kama ikitokea, si itakuwa na athari kwenye labor force na economic growth? Na je family sustainability ya Tanzania itakuwa kwenye hali gani ikiwa umri wa wababa na wamama wa familia wanaangamia kwa wingi?
Aisee watu wanakufa kwa speed ya mwanga, wakitabasamu usoni, je huu ni mwanzo wa mwenendo mpya wa watu kufariki?