Asalamaleko JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 2,699 Reaction score 7,726 Jan 16, 2025 #41 Na mtakufa sana na UKIMWI
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 33,679 Reaction score 49,841 Jan 16, 2025 #42 Ukiona mtu amenona maana yake ni mpambanaji, na maisha yake yanakuwa yanazungukwa na msongo wa mawazo kutokana na aina ya maisha aliyoyachagua. Ukishakuwa na msongo wa mawazo, unakaribisha presha na magonjwa ya sukari, figo n.k; inayokuja kupelekea kupata umauti wa ghafla. Muhimu, tujiepushe na tamaa zinazotupelekea kuwa na misongo ya mawazo; ishi maisha yako.
Ukiona mtu amenona maana yake ni mpambanaji, na maisha yake yanakuwa yanazungukwa na msongo wa mawazo kutokana na aina ya maisha aliyoyachagua. Ukishakuwa na msongo wa mawazo, unakaribisha presha na magonjwa ya sukari, figo n.k; inayokuja kupelekea kupata umauti wa ghafla. Muhimu, tujiepushe na tamaa zinazotupelekea kuwa na misongo ya mawazo; ishi maisha yako.