Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
-
- #101
Asante mkuu, nitafanya hivyoUsikose wala kupoteza Amani yako kwaajili ya mtu ambaye inawezekana ndivyo alivyolelewa, inakupasa wew ndio uangalie huyo mtu akiendelea kuwa ndani ya himaya yako kunafaida gani unapata? Kama Hana faida weka pemben angali maisha yako, pambana kusanya noti utajiri yangu huyo amesha kuchoka!
Huyo mkatili sana aiseeHaoni anajua bila docs sizipati,na lazima nimnyenyekee Sasa alishasema hazipo.Waweza ona alivyo katili
Mimi siwezi ubabe sasana wewe unakua mbabe
Yaani sio kwamba haoni uzuri wako,Sasa ukijutoa atakukumbuka sababu,Hawana kawaida ya kuvumilika.Ina maana atakimbiwa Sasa atatamani kuirejea kwa nyonge lake binti sayuni.Hapa sijakuelewa mkuu
Nikimove on huwa sigeukagi nyuma kabisaYaani sio kwamba haoni uzuri wako,Sasa ukijutoa atakukumbuka sababu,Hawana kawaida ya kuvumilika.Ina maana atakimbiwa Sasa atatamani kuirejea kwa nyonge lake binti sayuni.
Kweli kabisa mkuu, ngoja nifanye hivyoNyie ni wapenzi tu na siyo marafiki, mungekuwa marafiki kwanza halafu ndio muwe wapenzi. Tafuta amani ya moyo wako, Kisha ishi nayo. People always disappoint π€π€π€
Kazi kubwa sana mkuu, mtu wa hivi anachosha mnoNdio maana ya usemi "kuishi na watu ni kazi ".
Hajakuumba,ila atakusumbua ndivyo walivyo.Nikimove on huwa sigeukagi nyuma kabisa
Utupe hiyo story ya huyo mtu wako wa aina kama hii tujifunzeHajakuumba,ila atakusumbua ndivyo walivyo.
Umezungumza jambo muhimu sana ambalo wengi hawalijui, watu hawa wapo na wengi ni kutokana na changamoto za ukuaji/malezi waliyoyapitia utotoni.Kuwapandishia vioo. Kuwakataa. Kukata nao mazoea. Na hawa kwa nyanja ya saikolojia ya mwanadamu huitwa Narcissists . Na wana ugonjwa wa akili ujulikanao kama narcissistic personality disorder π€π€. Wataalam watajazia nyama nyama.
Yaani yeye anajiona sawa tu hadi ninamshangaa aiseeUmezungumza jambo muhimu sana ambalo wengi hawalijui, watu hawa wapo na wengi ni kutokana na changamoto za ukuaji/malezi waliyoyapitia utotoni.
Wana matatizo ila hawajigundui kama wana matatizo. Mpaka yawakumbe kwa Sanaa ndipo inapomjia fikra kumbe yeye ndiye tatizo.
Dah! Kama ni ugonjwa huu mimi sitamuweza kwakweliKuwapandishia vioo. Kuwakataa. Kukata nao mazoea. Na hawa kwa nyanja ya saikolojia ya mwanadamu huitwa Narcissists . Na wana ugonjwa wa akili ujulikanao kama narcissistic personality disorder π€π€. Wataalam watajazia nyama nyama.
Duh! Pole sana mkuu hata nadhani atakuwa ana mtu mwingine ndiyo maana mimi ananifanyia hivi au kanizoea sanamy x yf alikua na hyo tabia, akikosea haomb msamaha, tena yey ndo anakua wakulalamika ili aombwe msamaha yey.
- ila mim nilimwambia yake makosa japo alikua jeuri.
- niligundua ananicheat ndo maana jeur. Akazdisha tukaachana kistaarabu tena yey ndo altaka aende kwao nikakubali. MIAKA MITATU NOW
Aisee ni mbinafsi mpaka kwenye mapenzi,anapenda sana hela ila hata kuzitumia hawezi,akikukosea hasemi ni mkinya utasema ndio mtu.Mnafiki na anapenda sana kukuzwa.akishakosea haongei anajua waweza mpiga.Mchoyo na anajifikiria yeye tu.Mfano mimi nimetoka Dodoma kufanya shughuli mbalimbali kwa sasa.nNyumba niliyofikia ipo karibu na yao ya familia kwa hiyo ndugu zake wanamwambia nipo.Kwa hiyo anafuatiliwa kila nifanyalo.Utupe hiyo story ya huyo mtu wako wa aina kama hii tujifunze
Njoo kwangu mimi nipo singleπππdah! Mbona unasema hivyo mkuu, kuanzisha mahusiano mapya ni kazi sana unaweza kupata mtu mwingine akawa wa hovyo kuliko uliyemuacha
Huyo bado mpo pamoja au mmeachana? Kama mmeachana bado anakupendaAisee ni mbinafsi mpaka kwenye mapenzi,anapenda sana hela ila hata kuzitumia hawezi,akikukosea hasemi ni mkinya utasema ndio mtu.Mnafiki na anapenda sana kukuzwa.akishakosea haongei anajua waweza mpiga.Mchoyo na anajifikiria yeye tu.Mfano mimi nimetoka Dodoma kufanya shughuli mbalimbali kwa sasa.nNyumba niliyofikia ipo karibu na yao ya familia kwa hiyo ndugu zake wanamwambia nipo.Kwa hiyo anafuatiliwa kila nifanyalo.
Mh! Siwezi kukurupuka kwenye hilo swalaNjoo kwangu mimi nipo single
Sawa endelea kungangania na Red flags zote unaziona, Kama hajakuoa Ukija kushtuka Umepoteza muda kweli kweli na Jua linazamaMh! Siwezi kukurupuka kwenye hilo swala