Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba ife hiyo tabia wewe hutujui watu wa Dar huwa tunawatania, sasa ukija serious Dar ndo tunaona una wenge soo ZIMA SIMU au kitofa 🤣🤣🤣Tabia hii ife kabisa msiwe mnajimaliza sana kwanini lakini Grahams Half american Zulu man MENEMENE TEKERI NA PERESI De Opera Gily Gru Labella Monetary doctor Fake P View attachment 3198679
Sirudii makosa tenaPole emu njoo huku mwanza ntakupokea, ila nipo bize nitatuma mtu akuchukue
Mbaya sana iyo kabisaNikijua umeondoka ndio naanza kuzipokea mkuu🤣🤣
Hebu lipua mkuu tuone itakuajeKuna mdada humu daaah basi tuu ila tamlipua soon
Sisi wamikoani tunakaa poa sanaSirudii makosa tena
Ahhaha kazi ipo kazini kwangu kuna kazi ndio hiiKwamba nauli imepotea? 😂
Sema haya ya kuonana town ni issue nyeti sana. 😄 Ukiwa Darasalama tunajua wewe ni tajiri.
Sana unafikia uko chamaziNikija dsm nafikia vilodge navyomudu kimya kimya maana badala ya watu dsm kuwaona kama mkombozi😅unafika unaanza pigwa vizinga
Ahahah utani kama uhu hapanaSio kwamba ife hiyo tabia wewe hutujui watu wa Dar huwa tunawatania, sasa ukija serious Dar ndo tunaona una wenge soo ZIMA SIMU au kitofa 🤣🤣🤣
Ukilialia sana utakula UTeni kifuta jasho 😅
Ahahaha siamin mtu kabisaSisi wamikoani tunakaa poa sana
Ukila uteni unasahau mkuu 🤣🤣Ahahah utani kama uhu hapana
Mimi huwa siendi kwa yeyote hata baa bila kuwa na helaa maana muda wowote unaweza dhalilikaAhahaha siamin mtu kabisa
Hii sio sawa nakataaUkila uteni unasahau mkuu 🤣🤣
Kwahy hamuwezi kutembeleana ukoMimi huwa siendi kwa yeyote hata baa bila kuwa na helaa maana muda wowote unaweza dhalilika
Jf hii but unatembea kwa step kidogo...usianiambie limekukuta bro, ila huo ni uhuni asee.Kwahy hamuwezi kutembeleana uko
Nimewaza tuJf hii but unatembea kwa step kidogo...usianiambie limekukuta bro, ila huo ni uhuni asee.
Sio PooR 🧠kweli huyu 🤣🤣🤣
Wanapenda zawadi zako tu siku zikiisha wana anza kukukosoaMim nilishawafuta kwenye akili yang,najua sina ndugu dar
Mara stafeli halijakomaa, fenesi halina sukari 😅😅Wanapenda zawadi zako tu siku zikiisha wana anza kukukosoa
Mchele wenye una mawe kutaka watoto watoke meno hapana aondoke kwao 😂😂Mara stafeli halijakomaa, fenesi halina sukari 😅😅