Sasa wenge lenu walugaluga kukanyagana kuja Dar linasababishwa na nini...
Kwa nini watu wa Dar mkienda huko vijijini mnabandua pisi za walugaluga, ona sasa wamekuja kuwaanzishieni uzi..Wanavyo jikuta wanajua maisha sasa huwaambii kitu wakakuelewa, wako choka mbaya wananuka kajunde alafu wanajifanya maisha safi, wakija Kijijini huku na vinguo vyao vya mitumba nikudanganya vimabinti vya Kijijini ndio wanajua, niwakumbushe tuu yakiwashinda huko mjini rudini huku tuendelee kulima "mali utaipata shambani" acheni kukaza mafuvu shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
Wanatusema sana wa mikoani acha kibao kigeuke
Vile wakija huko mikoani mnawapapatikia,
Ni balaa, yaani mtu wa Dar akikaa kijiweni huko mkoa kila mtu anamsikiliza yeye.Vile wakija huko mikoani mnawapapatikia,
π€£π€£π€£ Sio vizuri.
Mtupumzishe.
Ni balaa, yaani mtu wa Dar akikaa kijiweni huko mkoa kila mtu anamsikiliza yeye.
πππππ€²Ukienda Mjini kutafuta Maisha hakikisha unafanya haya
UKIENDA MJINI KUTAFUTA MAISHA HAKIKISHA UNAFANYA HAYA Anaandika, Robert Heriel Leo sina mengi ya kusema, najua Maisha hayana Formula Ila zipo Formula katika Maisha. Ukitaka chukua usipotaka Acha. Ooh! Mimi ni kijana, nina miaka 25, sina hili wala lile. Sijui nikatafutie wapi Maisha. Mimi...www.jamiiforums.com
Siyo maneno, wana exposure kubwa kuliko nyinyi wa mkoa...π
Tatizo mnamaneno mengi alafu kila mwanadaslamu ni mchambuzi mjuaji wa kila kitu. Mtu aliishia form two lakini anachambua mpaka mambo ya NASA
Nani kasema mikoani kote ni poriniπUlitaka maisha ya Dar yawe sawa na huko porini?
Rubish takakataBila salamu!
Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.
Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.
Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.
Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.
Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.
Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.
Nitapiga mtu Hapa.
Naona shida yote imeanzia hapa, kuliwa pisi ya mlugaluga.......Wanavyo jikuta wanajua maisha sasa huwaambii kitu wakakuelewa, wako choka mbaya wananuka kajunde alafu wanajifanya maisha safi, wakija Kijijini huku na vinguo vyao vya mitumba nikudanganya vimabinti vya Kijijini ndio wanajua, niwakumbushe tuu yakiwashinda huko mjini rudini huku tuendelee kulima "mali utaipata shambani" acheni kukaza mafuvu shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
Siyo maneno, wana exposure kubwa kuliko nyinyi wa mkoa...