Watu wa Daslamu msidhani hatujui kinachowapata huku mjini

Wanavyo jikuta wanajua maisha sasa huwaambii kitu wakakuelewa, wako choka mbaya wananuka kajunde alafu wanajifanya maisha safi, wakija Kijijini huku na vinguo vyao vya mitumba nikudanganya vimabinti vya Kijijini ndio wanajua, niwakumbushe tuu yakiwashinda huko mjini rudini huku tuendelee kulima "mali utaipata shambani" acheni kukaza mafuvu shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
 
Kwa nini watu wa Dar mkienda huko vijijini mnabandua pisi za walugaluga, ona sasa wamekuja kuwaanzishieni uzi..
 
Rubish takakata
 
Naona shida yote imeanzia hapa, kuliwa pisi ya mlugaluga.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…