Si ndo kuna mashamba huko😂Nani kasema mikoani kote ni porini😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndo kuna mashamba huko😂Nani kasema mikoani kote ni porini😂
Wakija na Costa za kuzika utasikia wapewe chakula kwanza watu wa dar.
Ugali bamia na nyanya chungu ni mtamu sana, hasa ukute imechnagnywa na dagaa! Aloo! [emoji1787][emoji1787]
Na ukila hivyo hutakaa usikie kisukari, BP na ndugu zake wote.
Halafu watu wa Dar wanakuwa hawana time na hiyo misosi yao, wanakuwa bize na smartphone....Wakija na Costa za kuzika utasikia wapewe chakula kwanza watu wa dar.
Si ndo kuna mashamba huko😂
Nini kimekupata mkuu ulivyokuja Dar? Watu wa Dar sio wazuri ona sasa mmeishamuaribu kijana wa watu! Pole sana mkuu!
Mishangazi ni chaguo lako tu babuVipi kuvizia mishangazi
Nani sasa Babu?Mishangazi ni chaguo lako tu babu
Halafu watu wa Dar wanakuwa hawana time na hiyo misosi yao, wanakuwa bize na smartphone....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tulia kijana!Nani sasa Babu?
Hapa ndio tunapokosana na wanadaslamu
😀😀Wamama wa Daslamu huwaambii kitu kuhusu Mwamposa
Unajisemea Hali unazo pitia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tulia kijana!
Wewe endelea kupauka huko mkoani
Ngoja tuwaite hivyo hivyo wa mkoa, ingawaje haiondoi ule ushamba...Alafu msamiati walugaluga haujakaa vizuri.
Tuheshimiane.
Vinginevyo tuanze kutoboa siri zenu nzitonzito
Na pisi za Daslam hazitaki kuolewa na wavulana wa DAR, zinaolewa na wanaume kutoka mikoani.Kwa nini watu wa Dar mkienda huko vijijini mnabandua pisi za walugaluga, ona sasa wamekuja kuwaanzishieni uzi..