Watu wa Daslamu msidhani hatujui kinachowapata huku mjini

Watu wa Daslamu msidhani hatujui kinachowapata huku mjini

Kuishi DAR tayari unakuwa graduate wa chuo kikuu

Mkoani mnaishi vipi
 
Nini tofauti ya huyu jamaa na genta au ni mtu mmoja id tofauti. Na kama si hivo.
Jamaa wanashare kitanda au walishare ziwa la mama.
 
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
Thread 'Dar es Salaam ni kama 'Converter', lazima ikubadilishe' Dar es Salaam ni kama 'Converter', lazima ikubadilishe
 
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
 
Ni balaa, yaani mtu wa Dar akikaa kijiweni huko mkoa kila mtu anamsikiliza yeye.
Hiyo ni zamani. Walikuwa wanasimulia wamekutana na Dudu Baya Kariakoo yuko kwenye bonge la mpikipiki, kampakiza dogo Hamidu nyuma. Siku hizi mambo yote yapo mtandaoni. Watu wa Dar hawana kabisa cha kusimulia. Wamebaki kuongelea puani.
 
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
Unahasira sana. Wasamehe hao [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
Ongezea wengi wao wanasubiria miujiza.....
 
Mimi si mtabiri ila tu hii battle ya watu wa dar na wa sultan mangungo wa msovero(mikoani) itachukua nafasi ya masingle maza mana kaaah
 
Baada ya Dodoma kuwa makao makuu tulifikiri Dar imekuwa mkoani sasa itapumzishwa, wajuba bado wanayo tu.....
 
Nini kimekusibu mkuu au dunga dunga kapita na wewe nini [emoji1787]
 
Tatizo lao ni wajuaji na hawakubali kushindwa. Tunawaacha kama walivyo maana hawasikii
 
Back
Top Bottom