Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mental health is really..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapovu ya nini Mkuu...!!?Bila salamu!
Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.
Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.
Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.
Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.
Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.
Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.
Nitapiga mtu Hapa.
Kapost mtu kuhusu watu wa mikoaniNyie mbona hatuwafuatilii na maisha yenu ya vijijini Mkuu? Kila mtu ashinde mechi zake kwani shida ni nini?
Mzee acha ushamba Kila sehemu kunawanao pigika na wanao kula maishaBila salamu!
Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.
Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.
Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.
Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.
Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.
Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.
Nitapiga mtu Hapa.
Wakirudi huwa wanawagongea wake zenu nini?Wanavyo jikuta wanajua maisha sasa huwaambii kitu wakakuelewa, wako choka mbaya wananuka kajunde alafu wanajifanya maisha safi, wakija Kijijini huku na vinguo vyao vya mitumba nikudanganya vimabinti vya Kijijini ndio wanajua, niwakumbushe tuu yakiwashinda huko mjini rudini huku tuendelee kulima "mali utaipata shambani" acheni kukaza mafuvu shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
Kwasasa DaresalamaBila salamu!
Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.
Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.
Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.
Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.
Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.
Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.
Nitapiga mtu Hapa.
Yani.....mvua haitupumzishi watu hawatupumzishi tutakufwa 😁
Kwa nini watu wa Dar mkienda huko vijijini mnabandua pisi za walugaluga, ona sasa wamekuja kuwaanzishieni uzi..
Hawana hiyo jeuri wanaishi kwa vibinti vya mtaani tunaviita washa washa, wake za watu watachukua huko huko kwa wala chips wenzao huku wanajua nini kitawakutaWakirudi huwa wanawagongea wake zenu nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani.....mvua haitupumzishi watu hawatupumzishi tutakufwa [emoji16]
Hii imeenda[emoji1787]......heshima yako dadaWakija na Costa za kuzika utasikia wapewe chakula kwanza watu wa dar.
Yani.....mvua haitupumzishi watu hawatupumzishi tutakufwa 😁
😀😀Kwasasa Daresalama
Nasoma na kurudi juu tena na tena kuhakiki ni wewe mtibeli unatunanga hivi? Usiweke machungwa yote kwenye tenga moja bwana. Relax kunywa maji mengi.Kila mtu ashinde mechi zake.
Mental health is really..
Huwa tukirudi mikoani hatukai sana, kwasababu tunaweza tukala nauli tukaanza kuuza nguo na viatu.