Watu wa itifaki Ikulu hii sio sawa

Watu wa itifaki Ikulu hii sio sawa

ulaya hawavai barakoa kwanini viongozibwetunwaluochanjwa na familia zao
 
😅😅😅😅 Nilichogundua watu wengi nchini wana msongo wa mawazo..namna yao bora ya kutoa nyongo ndio humu mitandaoni!
😁😁😁 Yaani siku Jamii Forums ikifungwa na hawa wakoloni wetu weusi, haki ya nani wengi tutakufa kwa msongo wa mawazo!
 
Kwani akibeba mwenyewe mizigo yake Kama alivyo beba akitokea kwao Omani Kuja Zanzibar kunakuwa na shida gani? Mambo mengine ni ujuha na ushamba tuu Kama sio ulevi wa Madaraka.
Kwa hasira hizi lazima utakuwa unajifungua kwa operation ndogo wewe. Pia nimeamini sasa kuwa mama anaupiga mwingi na haters kama mnaelekea kuwehuka hiviiii maana sioni ya maana mnayoongea zaidi ya ujinga ujinga......go nama samia go!
 
😅😅😅😅 Nilichogundua watu wengi nchini wana msongo wa mawazo..namna yao bora ya kutoa nyongo ndio humu mitandaoni!
UPO SAHIHI KABISA KIONGOZI, hilo ndilo lililopo sasa. Na nikuongezee tu kuwa hao ni haters wanaoendelea kuchanganyikiwa vibaya......
1. Kwanza hawakutaka mama ashike uraisi......ameshika kwa nguvu ya Mungu
2. Wanamuombea maabaya kila siku....wanatamani ashindwe sana. Alipotaka kuwapanga machinga haters walifurahi wakijua mama anaenda kuchemka vibaya, na kupitia yule kimbaumbau mchawi, polepole, wakakoleza moto wakijua mwisho wa mama umefika na unaanzia kwenye machinga. Ajabu ni kuwa suala lililoonekana gumu linaenda kufanikiwa kirahisi kabisa.....machinga wanaelewa na wanaendelea kupangika. Basi wamepagawa balaaa
 
Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Raid alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!

Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.

Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!

View attachment 1998581
ADC maana yake msaidizi, mpambe, rafiki wa karibu mshikaji anayempa nafasi Rais ya kujihisi binadamu wa kawaidia huyo hata stori za "shosti fulani kantaka" wanapiga ila hayo ya kubeba mikoba na nyaraka yanaongezeka ili kumfanya asijasahau kuwa yeye ni kijakazi tu, kupiga stori na kuwa karibu na moja kusije kukamkengeusha.Sema hapo kwenye kubeba limzigo lizito na likubwa (haileti public image nzuri) una kahoja kamsingi katafanyiwa kazi.
 
Tatizo hapa ni ujuaji tu wa mleta mada. Huyo siyo bodyguard bali ni mpambe/mbeba mizigo ya Rais tu. Hapo ndo mahali pake haswaaaaa!
 
Kwani akibeba mwenyewe mizigo yake Kama alivyo beba akitokea kwao Omani Kuja Zanzibar kunakuwa na shida gani? Mambo mengine ni ujuha na ushamba tuu Kama sio ulevi wa Madaraka.
Team Dikteta kichaa
 
Kwani akibeba mwenyewe mizigo yake Kama alivyo beba akitokea kwao Omani Kuja Zanzibar kunakuwa na shida gani? Mambo mengine ni ujuha na ushamba tuu Kama sio ulevi wa Madaraka.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom