Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Mleta mada yuko sahihi kabisa.
Kuna lile la Rais wetu anavyoshuka kutoka kwenye ndege, msururu wa watu uko nyuma yake wakati bado yuko kwenye ngazi za ndege. Wamarekani wanayajua sana mambo haya ya 'image creation' ambayo wengine mnaona ni vitu vidogo.
Sisi kila kitu tunachukulia poa bora liende tu.
Kuna lile la Rais wetu anavyoshuka kutoka kwenye ndege, msururu wa watu uko nyuma yake wakati bado yuko kwenye ngazi za ndege. Wamarekani wanayajua sana mambo haya ya 'image creation' ambayo wengine mnaona ni vitu vidogo.
Sisi kila kitu tunachukulia poa bora liende tu.