Watu wa itifaki Ikulu hii sio sawa

Watu wa itifaki Ikulu hii sio sawa

Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Raid alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!

Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.

Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!

View attachment 1998581
Nafikiri ni sehemu ya majukumu yake.
 
Labda ni sehemu ya majukumu yake
Siyo labda Ndugu bali hayo ndiyo Majukumu yake Makuu na sijui ni kwanini Watu wengi hudhani huyo ADC ( Mpambe ) wa Rais ndiyo huwa Mlinzi wakati Ukweli ni kwamba Yeye hahusikia na Ulinzi na kwamba wenye Jukumu la Ulinzi wapo na ni hao wenye Suti na Vidude vya Kupokea Mawasiliano Masikioni mwao.
 
Wewe unaona kawaida avae yeye tu libarakoa wengine wakimshangaa?
Sina uchungu na mtu.
Sawa....

Pamoja na kuchomwa CHANJO dhidi ya UVIKO bado Wataalamu wa afya hawajatushauri tuache kabisa kuvaa BARAKOA.....

Siempre JMT
 
Ya wenzetu Yale ni password za nuclear sio hilo la mama limejaa Madera tu mikataba

download.jpeg
 
Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Rais alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!

Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.

Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!

Hii hapana wamekosea kwakweli
 
Mpambe huyo hana madhara yoyote, laiti ingekuwa ni PBG ndio kabebeshwa mizigo yote hiyo ningelaumu sana…
 
Sure haijakaa vizuri. Hata kiusalama. PSU na watu wa Itifaki bado wana kazi ya kufanya.
Unajua tofouti ya mpambe na mlinzi binafsi wa raisi? Huyo ni mpambe tu hana lolote hapo wanaume wa kazi kutoka PSU ndio wameshikilia ulinzi wa mama achana huyo mbeba leso na mikoba ya mama hausiki na ulinzi wowote kwa mh. Raisi
 
Yupo zake mbinguni kwa baba hana shida za dunia tena.
Unanikumbusha mbali mno, yaani Hayati Magufuli alipokuwa akifanya ziara ama akiwa akitoa hotuba unakuta watu barabarani wamejaa wanasikiliza madini kutoka kwa jemedari wetu, ila hii awamu ya sita watu ndio hawana habari kabisa na Mama, kwa ufupi mama ana nyota ya upendo kwa watanzania.

Na akitaka asitaafu kwa heshima ni vyema aachia hicho kijiti 2025.
 
Unanikumbusha mbali mno, yaani Hayati Magufuli alipokuwa akifanya ziara ama akiwa akitoa hotuba unakuta watu barabarani wamejaa wanasikiliza madini kutoka kwa jemedari wetu, ila hii awamu ya sita watu ndio hawana habari kabisa na Mama, kwa ufupi mama ana nyota ya upendo kwa watanzania.

Na akitaka asitaafu kwa heshima ni vyema aachia hicho kijiti 2025.

Sukuma gang mnatesekea legacy ya jiwe it is Over ;
 
ulaya hawavai barakoa kwanini viongozibwetunwaluochanjwa na familia zao
Ulaya wanavaa barakoa, acha uongo.
Ukiona mtu hajavaa ujue kuna masharti fulani yaliyowekwa ameyatimiza. Lakini bado inakuwa ni uhuru wake kama akiamua kuvaa kulingana na anaitafsirije hali ya mahali alipo.
 
Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Rais alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!

Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.

Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!

Habebi mabegi peke yake. Kumbuka anatumwa kupeleka bahasha yenye jina la waziri mkuu kwa spika wa bunge.
 
Back
Top Bottom