Hongera zake kama ni hivyo.Yupo zake mbinguni kwa baba hana shida za dunia tena.
Una utoto mwingi sana.....Kwani akibeba mwenyewe mizigo yake Kama alivyo beba akitokea kwao Omani Kuja Zanzibar kunakuwa na shida gani? Mambo mengine ni ujuha na ushamba tuu Kama sio ulevi wa Madaraka.
Sio Shopping kweli kwa fedha za walipakodi?Humo kuna mikataba ya ulagai kutoka uskochi, hapaswi kuku yoyote kuijua ndiomana tumembebesha mpambe
Waarabu wana wajihi na uso wa mh.Rais?!!Duuh π²π²π²π€£Tanzania tumemkosea nini Allah.!?!
Mrundi aliejificha kwenye Usukuma kaenenda nchi ipo kwa mama wa kiarabu toka Omani anaejificha kwenye Umakunduchi.
Bro sio kila begi lazima...Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Raid alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!
Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.
Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!
View attachment 1998581
Mnduku wa mma yako!Kunywa maji utulize hasira na ujue kabisa lile bedui sasa halipo.
Jamani jamani jamani! Mtatuua na kuchekaYule hata Raisi akiwa na gunia la mchele anambebesha mleta mada haelewi kazi ya huyo ADC ila kaleta ujuaji wa Kibwege
Huyo aweza tumwa hata kwenda kumnunulia Raisi karanga nje wakati Raisi akiwa anahutubia ndani
π€£π€£Unaulizia shopping tu ila huulizii huduma zote muhimu anazostahili kwa kodi zetu?!!Sio Shopping kweli kwa fedha za walipakodi?
Daaa hii nchi aseee...!Tumfufue Magufuli aje kuendelea na urais au unasemaje.
Kuna kazi gani bora yenye kuufurahisha moyo na nafsi kama ya kumhudumia Amiri Jeshi Wa Majeshi Ya Ulinzi na Usalama na Chifu Mkuu Wa Machifu wote?!!!Mtu umeshasema MPAMBE... acha abebeshwe tu.
Bahati Mbaya sana tafsiri ya Mpambe wa Rais kwa hapa kwetu Tz imetafsiriwa very low. Ndio maana hata akibebeshwa mgomba mtasema ni jukumu lake.Yule hata Raisi akiwa na gunia la mchele anambebesha mleta mada haelewi kazi ya huyo ADC ila kaleta ujuaji wa Kibwege
Huyo aweza tumwa hata kwenda kumnunulia Raisi karanga nje wakati Raisi akiwa anahutubia ndani
πππππHumo kuna mikataba ya ulagai kutoka uskochi, hapaswi kuku yoyote kuijua ndiomana tumembebesha mpambe
Na hiyo ni mizigo binafsi ya Mhe. Rais sio kila mtu anaibeba sembuse kuigusa..iko sawa tuHuyo kiitifaki ni Mpambe/ msaidizi wa Rais
Hii inaweza ingia kwenye Guinness book.Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Raid alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!
Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.
Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!
View attachment 1998581
Mkuu kwa miaka hii 9 utaupa tabu sana moyo wako kumpinga na kumzodoa mh.Rais SSH π€£π€£Walishindwa kumushauri kule Ulaya asivae Lile libarakoa,akaonekana kituko, wazungu wenye Corona yao hawakuvaa hata.
Kumbuka hapo alikuwa kwenye ndege ya abiria na sio ndege binafsi...Mleta mada yuko sahihi kabisa.
Kuna lile la Rais wetu anavyoshuka kutoka kwenye ndege, msururu wa watu uko nyuma yake wakati bado yuko kwenye ngazi za ndege. Wamarekani wanayajua sana mambo haya ya 'image creation' ambayo wengine mnaona ni vitu vidogo.
Sisi kila kitu tunachukulia poa bora liende tu.