Nafikiri ni sehemu ya majukumu yake.Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Raid alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!
Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.
Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!
View attachment 1998581
Siyo labda Ndugu bali hayo ndiyo Majukumu yake Makuu na sijui ni kwanini Watu wengi hudhani huyo ADC ( Mpambe ) wa Rais ndiyo huwa Mlinzi wakati Ukweli ni kwamba Yeye hahusikia na Ulinzi na kwamba wenye Jukumu la Ulinzi wapo na ni hao wenye Suti na Vidude vya Kupokea Mawasiliano Masikioni mwao.Labda ni sehemu ya majukumu yake
Wewe unaona kawaida avae yeye tu libarakoa wengine wakimshangaa?Mkuu kwa miaka hii 9 utaupa tabu sana moyo wako kumpinga na kumzodoa mh.Rais SSH ๐คฃ๐คฃ
Kila la heri Komredi ๐
SIEMPRE JMT
Sawa....Wewe unaona kawaida avae yeye tu libarakoa wengine wakimshangaa?
Sina uchungu na mtu.
Watz wape picha tu....habari watatengeneza wao.Wa Tz ni wasomi kuliko elimu yenyewe !!! Kila jambo ni lazma walikosowe.
Mbona tupo wajuaji wengi ????
OkNa hiyo ni mizigo binafsi ya Mhe. Rais sio kila mtu anaibeba sembuse kuigusa..iko sawa tu
๐คฃ๐คฃWatz wape picha tu....habari watatengeneza wao.
Matusi na dhihaka kwa kiwango hicho wala si maungwana.....
Siyo kweli Magufuli yuko JehenamuYupo zake mbinguni kwa baba hana shida za dunia tena.
Hii hapana wamekosea kwakweliWatu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Rais alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!
Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.
Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!
Nikweli huyo siyo mlinzi ila hiyo picha haileti sura nzuriMleta mada kitakuwa kitoto ambacho hata JKT hakijui kinadhani huyo ni mlinzi wa Raisi kilivyo kijinga
Unajua tofouti ya mpambe na mlinzi binafsi wa raisi? Huyo ni mpambe tu hana lolote hapo wanaume wa kazi kutoka PSU ndio wameshikilia ulinzi wa mama achana huyo mbeba leso na mikoba ya mama hausiki na ulinzi wowote kwa mh. RaisiSure haijakaa vizuri. Hata kiusalama. PSU na watu wa Itifaki bado wana kazi ya kufanya.
Unanikumbusha mbali mno, yaani Hayati Magufuli alipokuwa akifanya ziara ama akiwa akitoa hotuba unakuta watu barabarani wamejaa wanasikiliza madini kutoka kwa jemedari wetu, ila hii awamu ya sita watu ndio hawana habari kabisa na Mama, kwa ufupi mama ana nyota ya upendo kwa watanzania.Yupo zake mbinguni kwa baba hana shida za dunia tena.
๐๐๐๐wapo bise naMnataka Aachie begi ili mkatoe kopi za nyaraka sio?
Unanikumbusha mbali mno, yaani Hayati Magufuli alipokuwa akifanya ziara ama akiwa akitoa hotuba unakuta watu barabarani wamejaa wanasikiliza madini kutoka kwa jemedari wetu, ila hii awamu ya sita watu ndio hawana habari kabisa na Mama, kwa ufupi mama ana nyota ya upendo kwa watanzania.
Na akitaka asitaafu kwa heshima ni vyema aachia hicho kijiti 2025.
Ulaya wanavaa barakoa, acha uongo.ulaya hawavai barakoa kwanini viongozibwetunwaluochanjwa na familia zao
Habebi mabegi peke yake. Kumbuka anatumwa kupeleka bahasha yenye jina la waziri mkuu kwa spika wa bunge.Watu wa itifaki ikulu naomba muwe mnaondoa aibu ndogondogo kama hii, inakuaje mpambe wa Rais Samia abebeshwe mzigo huu wa begi kubwa wakati Rais alipowasili airport ya Dar akitokea Scotland!
Hapo inamuondolea uwezo wa yeye kufocus katika mausala ya msingi, lakini pia hata kwenye suala la picha halileti muonekano mzuri, begi kubwa kama hilo wabebe wasaidizi wengine wa idara.
Naamini mtalifanyia kazi jambo hili nyeti, ahsanteni!
Kuwa na nidhamu, ni wapi na lini uliona JPM akihimiza ukabila?Sukuma gang mnatesekea legacy ya jiwe it is Over ;