Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone

Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
 
Wewe ndio sio muelewa. Kila mkoa hapa Tanzania huwezi kukosa watu ambao hawajui makabila au maeneo ya sehemu nyingine ya Tanzania. Hii inatokana na hao watu kutosoma na pia kukosa kusafiri safiri.
 
Wewe ndio sio muelewa. Kila mkoa hapa Tanzania huwezi kukosa watu ambao hawajui makabila au maeneo ya sehemu nyingine ya Tanzania. Hii inatokana na hao watu kutosoma na pia kukosa kusafiri safiri.
Soma uzi vizuri,hao ni wasomi hususani waalinu ndio maana nikashangaa
 
Kwahiyo wewe ukipiga story na washkaji zako ambao mnalingana uelewa unahisi umezungumza na kanda ya ziwa yote sio???

Sio kila story unazopiga na washkaji zako lazima utushirikishe, mwisho wa siku unaishia kuandika vitu vya ajabu kama hivi
 
Pia wanaongoza kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume kwa mujibu wa taarifa ya habari Azam tv jana.
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine umiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema weww ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone
Shida hao nao dharau wameziweka mbele na majigambo juzi😂
 
Hapo tatizo kubwa ni elimu.
Kama hawasoma usishangae wao kutokujua makabila mengine.

Hata Hapa DAR kuna watu ukiwauliza Wafipa au Wanyiha wanapatikana Mkoa gani watabaki wanakuangalia
Sema ukweli ndugu mwandishi wapi ulikutana na mtu akasema ye ni mfipa au mnyia,hayo makabila tunayasoma vitabuni ila mi na uzee huu sijawahi kuwa na rafiki au mtu wakaribu akasema ye ni mfipa au mnyia
 
Nipo karagwe,kati ya watu kumi hakuna aliyejua kuwa kuna kabila linaitwa wasambaa
Watu was Karagwe waulize masuala ya Rwanda na Uganda.

Kule ni karibu kuliko Dar.

Mimi nimekaa Bukoba, enzi hizo nauli kwenda Kampla ni Tsh 10,000 wakati Bukoba to Mwanza kwa nauli ya chini kabisa ya Meli daraja LA 3 ilikuwa Tsh 15,600/=
 
Watu was Karagwe waulize masuala ya Rwanda na Uganda.

Kule ni karibu kuliko Dar.

Mimi nimekaa Bukoba, enzi hizo nauli kwenda Kampla ni Tsh 10,000 wakati Bukoba to Mwanza kwa nauli ya chini kabisa ya Meli daraja LA 3 ilikuwa Tsh 15,600/=
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom