Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Mama rwakatare kwani sio muhaya?Wangindo ndio akina mama rwakarare au,ngumu sana kukutana na mngindo mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama rwakatare kwani sio muhaya?Wangindo ndio akina mama rwakarare au,ngumu sana kukutana na mngindo mtaani
Awali kabla haujani-quote ulielewa nilichoeleza?Ewaaa!!! naona umenipata uzuri!...sasa ndo jiulize hapo!!
Sasa si maana ulijibu Mkuu au......Awali kabla haujani-quote ulielewa nilichoeleza?
Hujaelewa maana ya komenti yangu ya kwanza.Anyway,siku njema!Sasa si maana ulijibu Mkuu au......
Yani kumuuliza mtu mmja Dar ni wap ashindwe kukujibu ndo useme watu wa kanda ya ziwa hawajui fulani na fulani wanatokea wapi watu wengine jamaniNiko kanda ya ziwa,
Nimeshangazwa na kitu kimoja
Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao
Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.
Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.
Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman
Tembea uone
Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
walikuja wote!Hujaelewa maana ya komenti yangu ya kwanza.Anyway,siku njema!
Kwa hiyo we ukisikia janda ya ziwa unajua ni kwa wasukuma tu,kuna waangaza,wasubi,washubi,wakilongo,wanyambo,wazinza,wakara,wakerewe,wazanaki ,wasumbwa,wakireme, nk makabila zaidi ya 30Karagwe huko ni kwa kina Nshomile, sio usukumani
SahihiWewe ndio sio muelewa. Kila mkoa hapa Tanzania huwezi kukosa watu ambao hawajui makabila au maeneo ya sehemu nyingine ya Tanzania. Hii inatokana na hao watu kutosoma na pia kukosa kusafiri safiri.
Hata wewe ukiambiwa kuwa kuna kabila la WAKWAYA, WAARUSHA, WASWAHILI, WAMACHINGA, n.k. unaweza ukashangaa.Niko kanda ya ziwa,
Nimeshangazwa na kitu kimoja
Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao
Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.
Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.
Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman
Tembea uone
Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,