Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine umiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema weww ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone
Hamna kabila kubwa kama Wasukuma, karibu robo ya nchi ni Wasukuma, hivyo basi hawana haja ya kutujua huto tukabila tudogo ambato hata hatuvuki wilaya
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine umiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema weww ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone
Kanda ya ziwa gani hilo?Umekutana na zuzu mmoja ndiyo uwaweke wote kwenye gudulia moja?Na mimi nikikuambia hiyo mikoa mingine wenyewe huwa wanadhani dunia nzima ni wao tu utakataa?Unapita vijijini unasalimiwa kwa lugha yao tu wakidhani nawe ni kabila lao.Na kama umevaa "kiofsa" hadi mababu na mabibi wanakuamkia shikamoo.😂😂😂😂
 
Kanda ya ziwa gani hilo?Umekutana na zuzu mmoja ndiyo uwaweke wote kwenye gudulia moja?Na mimi nikikuambia hiyo mikoa mingine wenyewe huwa wanadhani dunia nzima ni wao tu utakataa?Unapita vijijini unasalimiwa kwa lugha yao tu wakidhani nawe ni kabila lao.Na kama umevaa "kiofsa" hadi mababu na mabibi wanakuamkia shikamoo.😂😂😂😂
Wapi huko niende nikaamkiwe
 
Nipo karagwe,kati ya watu kumi hakuna aliyejua kuwa kuna kabila linaitwa wasambaa
Asa huko si Uganda chief , nenda Tanga ndani ndani huko kawaambie Mimi ni mnyambo , Kijiji kizima lazima wakuulize wanyambo wanatoka wapi
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone
Mkuu wewe ni muongo kabisa.

Makabila mengi ya kanda ya ziwa yana exposure ya kutembelea mikoa mingi kwa ajili ya utafutaji ndani na nje mikoa na kanda zake na hata nchi za jirani, tena katika fursa mbalimbali kuanzia kilimo, biashara, usafirishaji, uvuvi nk.

Hakuna mahali penye fursa na yenye mkusanyiko wa watu utakosa mtu wa kanda ya ziwa.

Halafu Tanzania hii nani ashindwe kujua mgogo ni mtu wa wapi??
 
Ila hata mimi kuna makabila siyajui asee nilienda morogoro nikakutana na kabila linaitwa wakaguru eti nikishangaaa juzi ndo najua kwamba wakwere ni kabila

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sasa makabila yanawasaidia Nini wakazi wa Kanda ya ziwa Hadi wayafahamu, watu Wanahutaji huduma za za jamii zilizo Bora wewe unasema habari za makabira !!?
Dah kama hujui kuwa kuna dunia nyingine huwezi kujua huduna bora ni ipi,tunapata maendeleo kwa kujilinganisha na jamii nyingine,exposure ni kitu muhimu sana,kuna kabila waliamini ugali ni chakula cha masikini mpaka migomba iliponyauka
 
Imagine hiyo imetokea miaka hii ya 2020's ambapo Elimu ni Bure, Piga picha miaka Ile Nchi imetoka kupata Uhuru Hali ilikuwaje?

Mwalimu Nyerere alipata shida sana kuongoza Taifa lenye Idadi kubwa ya MaMbumbumbu
 
Imagine hiyo imetokea miaka hii ya 2020's ambapo Elimu ni Bure, Piga picha miaka Ile Nchi imetoka kupata Uhuru Hali ilikuwaje?

Mwalimu Nyerere alipata shida sana kuongoza Taifa lenye Idadi kubwa ya MaMbumbumbu
Shule za kata zimeongeza umbumbumbu,mtoto anazaliwa kata X anaanza chekechea kwenye hiyo kata mpaka sekondari,chuo cha ualimu anaenda mkoani,anarudi kufundisha kwenye kata yake,hajui kana kuna jamii tofauti.
Enzi za mwalimu,mwanafunzi wa songea akifaulu anapelekwa Tabora kule anakutana na wenzake toka jamii tofauti karibu kila mkoa
 
Shule za kata zimeongeza umbumbumbu,mtoto anazaliwa kata X anaanza chekechea kwenye hiyo kata mpaka sekondari,chuo cha ualimu anaenda mkoani,anarudi kufundisha kwenye kata yake,hajui kana kuna jamii tofauti.
Enzi za mwalimu,mwanafunzi wa songea akifaulu anapelekwa Tabora kule anakutana na wenzake toka jamii tofauti karibu kila mkoa
Unataka kusema mtu asiyeenda Shule kabisa anaweza kufanana na aliye na Shule?

Mimi naamini suala la Ujinga limeanza kupungua baina ya Jamii ya Watanzania.

Ila tusiache kusomesha watoto wetu Shule nzuri. Ukiweza Bora uzae watoto watatu tu ambao unajua utamudu kuwasomesha hadi Chuo kikuu bila kuhitaji support ya Serikali.
 
Unataka kusema mtu asiyeenda Shule kabisa anaweza kufanana na aliye na Shule?

Mimi naamini suala la Ujinga limeanza kupungua baina ya Jamii ya Watanzania.

Ila tusiache kusomesha watoto wetu Shule nzuri. Ukiweza Bora uzae watoto watatu tu ambao unajua utamudu kuwasomesha hadi Chuo kikuu bila kuhitaji support ya Serikali tena Kwa shule nzuri za 3 - 7M Kwa Mwaka.
Uko sahihi ila exposure muhimu sana,nayenyewe ni elimu
 
Back
Top Bottom