Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Watu wa kanda ya ziwa hawana uelewa wa kuwepo kwa makabila mengine nchini

Soma uzi vizuri,hao ni wasomi hususani waalinu ndio maana nikashangaa
Nafikiri ulitaka kuandika walimu.... Kioo Cha maarifa... ! Kazaliwa hapo, kasoma msingi hapo, sekondari ya kata hapo, advance hapo, chuo hapo.. ajira hapohapo... Lini atajua uwepo wa eneo zaidi ya "hapo" !!????
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone

Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
daaah kwhy wasukuma hawatujui sisu wangindo na super star wetu bambo
 
Hapo tatizo kubwa ni elimu.
Kama hawasoma usishangae wao kutokujua makabila mengine.

Hata Hapa DAR kuna watu ukiwauliza Wafipa au Wanyiha wanapatikana Mkoa gani watabaki wanakuangalia
Hayo makabila ngumu sana kujulikana hata kama umesoma
Umaarufu wa makabila unapotea siku hizi
Ukiwaambia watu wakutajie Makabila 10 watakaoweza hawatafika hata robo
 
Nikifika Shinyanga miaka ile, watu wazima kabisa wakawa wananishangaa mbona sijui kisukuma. Wengine wanauliza , hata kinyamwezi hujui?
Unaitwa mswahili[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kanda ya ziwa gani hilo?Umekutana na zuzu mmoja ndiyo uwaweke wote kwenye gudulia moja?Na mimi nikikuambia hiyo mikoa mingine wenyewe huwa wanadhani dunia nzima ni wao tu utakataa?Unapita vijijini unasalimiwa kwa lugha yao tu wakidhani nawe ni kabila lao.Na kama umevaa "kiofsa" hadi mababu na mabibi wanakuamkia shikamoo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usukumani ndo mpk kesho wanaamkia watu waso kabila lao
 
Hapo tatizo kubwa ni elimu.
Kama hawasoma usishangae wao kutokujua makabila mengine.

Hata Hapa DAR kuna watu ukiwauliza Wafipa au Wanyiha wanapatikana Mkoa gani watabaki wanakuangalia
daaah kwhy wasukuma hawatujui sisu wangindo na super star wetu bambo
Wangindo ndio akina mama rwakarare au,ngumu sana kukutana na mngindo mtaani
 
Mimi kabila langu ni MGAGAGIGIKOKO, unalifahamu hili kabila?!
MGAGAGIGIKOKO ili kabila niliwahi kulisikia kipindi nasoma tuition mchikidown miaka ya 2011 kuna jamaa walikuwa wanaitwa kwa kabila hili MJOMBA Kim effect
 
Mkuu wewe ni muongo kabisa.

Makabila mengi ya kanda ya ziwa yana exposure ya kutembelea mikoa mingi kwa ajili ya utafutaji ndani na nje mikoa na kanda zake na hata nchi za jirani, tena katika fursa mbalimbali kuanzia kilimo, biashara, usafirishaji, uvuvi nk.

Hakuna mahali penye fursa na yenye mkusanyiko wa watu utakosa mtu wa kanda ya ziwa.

Halafu Tanzania hii nani ashindwe kujua mgogo ni mtu wa wapi??
Acha ubshi kabisa, mkuu. Mtoa mada ana exposure ndogo sana. alichokiandika kwenye uzi wake si cha kushangaza hata kidogo, kipo nchi nzima na dunia nzima.
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone

Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone

Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
Ni kweli hawajui kabisaaa! make ktk Ukombozi wa Bara la Africa, Kagera, UNO, OAU.... sehehmu zooote za ukombozi wa Bara hili wana mchango mkubwa, sana, ni Wakurya tuu! wameandikwa huko! Ndo walienda mstari wa mbele!

kwa hoyo wako sahihi wakajua wako wao tu!,
 
Niko kanda ya ziwa,

Nimeshangazwa na kitu kimoja

Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine ukiacha yale yanayopotikana kanda yao

Ukisema wewe ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.

Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.

Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman

Tembea uone

Nadhani ukubwa wa kabila la wasukuma unachangia maana utoke Geita uende Mwanza,Katavi,Shinyanga,Tabora,Simiyu watu wanaongea lugha moja tu,
Uko kwenye kilabu cha Pombe gani mkuu?

Na kinapatikana kijiji gani cha wilaya ipi?
 
Hao wagogo na wasambaa wenyewe wanafahamu kama kuna wanyamwezi na wazanaki?
Wanajua ila kuna makabila ni aibu kubwa sana wao kujulikana km wao ni kabila flani! Mfano wajameni eti mtu ujiite Muha? yaani uchawi, miguu ilo pinda ushamba uchafu,

hayo hayo waaha,, ni majinga majinga ivi yasojua kiswahili, funza tu ndoa wanagonga kichwani! sijui, ujitaje kabila langu Muhaya,hapa sisemi saaana make wanangu hawa.............

au ujiite hadharani eti kabila langu Mzaramo mweee! wacheza ngoma za kizembe tena uchi,! wavivu, wana shindia maji eti wanaita chai ya rangi, hawana bidii za kazi,

wao ni kupigana miti tyuuu, mchana kweupe, na wako ivo, hawabadiriki na hawataki kusikia mabadiriko!...uchawi wao mdogooo!

Hapo ukitaja mie mzaramo, kila mtu lazima acheke ukumbini!! ...lkn ukisema mie Mkuryaa Weee! kimyaaa!! ......watu wanaona sura za Combat, wapiganaji wao, sura za JKT tupt,

zaidi wanaona sura ya Baba Baba wa Taifa hIyoooo!! ....utasikia sasa hivi kule Maaaara!!!!.......
wakombozi wa Bara la Africa! nzima!,....ukipima saaana mleta Mada ameiandika kwa adabu zoote!
 
Back
Top Bottom