Wapi huko?Huko ndani ndani
Nipo karagwe,kati ya watu kumi hakuna aliyejua kuwa kuna kabila linaitwa wasambaaWapi huko?
Ongea kiutafiti, tutakuelewa. Vinginevyo unajaribu kupotosha.
Utafiti umefanya wapi?
Sampling techniques etc
Nilikuwa mkoa mwingine tuko field jamaa qkasema ni mgogo watu wote hawakujua mgogo asili yake wapiNipo karagwe,kati ya watu kumi hakuna aliyejua kuwa kuna kabila linaitwa wasambaa
Soma uzi vizuri,hao ni wasomi hususani waalinu ndio maana nikashangaaWewe ndio sio muelewa. Kila mkoa hapa Tanzania huwezi kukosa watu ambao hawajui makabila au maeneo ya sehemu nyingine ya Tanzania. Hii inatokana na hao watu kutosoma na pia kukosa kusafiri safiri.
Wapi nimesema nimefanya utafitiWapi huko?
Ongea kiutafiti, tutakuelewa. Vinginevyo unajaribu kupotosha.
Utafiti umefanya wapi?
Sampling techniques etc
Wagogo Wametoa Spika ambae amesimamia kutungwa Kwa Sheria mbali mbali hapa nchini halafu unasema hawana impact.Ila kabila la Wagogo halijulikani kabsaa nahisi halina impact kubwa hapa nchini.
Shida hao nao dharau wameziweka mbele na majigambo juzi😂Niko kanda ya ziwa,
Nimeshangazwa na kitu kimoja
Watu huku hawajui kama kuna makabila mengine umiacha yale yanayopotikana kanda yao
Ukisema weww ni mgogo utaulizwa wagogo kwao ni wapi?makabila makubwa kama wasambaa,wahehe,wangoni,walugulu hawajulikani huku.
Watu hawajuihata Tanga iko wapi kijiografia.
Hapa naongelea watu wazima na wengine wamesoma mpaka vyuo vya kati.sio watoto au layman
Tembea uone
Sema ukweli ndugu mwandishi wapi ulikutana na mtu akasema ye ni mfipa au mnyia,hayo makabila tunayasoma vitabuni ila mi na uzee huu sijawahi kuwa na rafiki au mtu wakaribu akasema ye ni mfipa au mnyiaHapo tatizo kubwa ni elimu.
Kama hawasoma usishangae wao kutokujua makabila mengine.
Hata Hapa DAR kuna watu ukiwauliza Wafipa au Wanyiha wanapatikana Mkoa gani watabaki wanakuangalia
Watu was Karagwe waulize masuala ya Rwanda na Uganda.Nipo karagwe,kati ya watu kumi hakuna aliyejua kuwa kuna kabila linaitwa wasambaa
Kabila linajulikana ila kumpata mtu akijitambulisha kuwa mgogo kazi kwelikweliIla kabila la Wagogo halijulikani kabsaa nahisi halina impact kubwa hapa nchini.
Kweli kabisaWatu was Karagwe waulize masuala ya Rwanda na Uganda.
Kule ni karibu kuliko Dar.
Mimi nimekaa Bukoba, enzi hizo nauli kwenda Kampla ni Tsh 10,000 wakati Bukoba to Mwanza kwa nauli ya chini kabisa ya Meli daraja LA 3 ilikuwa Tsh 15,600/=