Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #61
Wanaziita Nsalago . Aloo wasukuma wanachanja sana na hazina maajabu kabsaaa.
Wanahitaji mabadiliko, hayo mambo wapunguze.Wengine ni utamaduni wao kama wakurya,wamasaie ,wamakonde ila wasukuma baadhi wanachanja wale wacheza ngoma kama urembo. Wanaobakia ni yale mambo ya upande wa kienyeji hasa vijijini huko elimu inahitajika sana
Kama kuna madude yanahama ukilala nao basi itakuwa umeyavagaa mengi sana.Nipo Kanda ya ziwa aisee ulivyoongea ukweli mtupu, nilikuwa nademu mmoja hivi dah chale kuanzia kwenye kope juu, mikononi, mgongoni Hadi kiunoni afu mweupe yule manzi sema nikala nikapita hivi, nikaingiya tinde, isaka, kagongwa, kahama, masumbwe wapi sijuhi runzewe wanawake niliokutana nao wenye asili ya huko wanachale aisee Hadi nikawa najiuliza mwenyewe ila Mimi napiga na chale zao hivyo hivyo akina Mwangaluka mayo
Mnajilinda na nini mbona kifo kipo pale pale kama ni hicho mnakikwepa?Tuache tujilinde, tuache kabisa......kama hauzipendi kaoe kwenu huko 😹
Huyu ukimzingua lazima akuloge.
Kuna Mtutsi hapa nimemwelewa sana acha nikawakilishe Taifamsukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha,
toto mzuri shavu zuri mdomo wa kunyonya
Usiliangushe taifa mkuu kila la heri mpaka akamsimulie kagameKuna Mtutsi hapa nimemwelewa sana acha nikawakilishe Taifa
Acha uoga mtoto wa kiume ile kule chini haina chaleHuyu ukimzingua lazima akuloge.
Acha nikawakilishe vyema Taifa hakuna namnaUsiliangushe taifa mkuu kila la heri mpaka akamsimulie kagame
Babu wa Babu yako Mzaa Babu yake kwa Babu yake Babu yako alikua anaabudu MIZIMU na alipigwa chale mpaka kwenye ulimi mpaka kwenye kichwa cha chini alipigwa chale sasa kizazi chake kimoja wapo ndio Wewe sauti ya kuzimuCHALE NI AGANO kati ya anayechanjwa chale na ufalme wa kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina kichawi au mganga wa kienyeji likihusisha damu(ukichanja mwili damu itatoka)
agano hilonla damu katika ibada hiyo ya kishirikina na katika madhabahu ya kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina anayejitambulisha kama mganga lina tembea fuatilia vizazi hata cha tatu na cha nne hata miaka 400.
ATHARI NI HASI
Roho za kuzimu na mauti roho za uharibifu ulizoingia nazo mkataba zitafuatilia wewe na uzao wako hata kiazazi cha nne.
Ufalme wa giza kazi yake ni nini uharibifu,mauti,na kufunga vifungo vya kipepo ,vinavyoharibu maisha yako nanvizazi ,na hata mauti,riho ya vifo..yani mabaya
HAKUNA FAIDA.
UONGO ULIOPO
Utadanganywa kuwa ni zindiko ni kinga ni ulinzi ila ni kukaribishabkimilikiwa na mapepo ,majini kuwa chini ya kutumikishwa na ufalme wa giza ambao umejivika ngozi ya kindoo kumbe ni mbwa mwitu unajifanya ni msaada kwako au rafiki kwako kumbe ni ADUI.
Kwahiyo mnatuogopa wenye Chale kwamba tutawaloga? 🤣🤣🤣Naangalia wapi mkuu na nishajichanganya tayari
We kula mbususu..chale zake muachieWapunguze kuna haja gani ya kumchafua mtu na chale kiunoni, kifuani, tumboni, usoni, mikononi?
Kuna shida mahali ndio maana wakifika mjini wengi wanazifuta.
Polesana,walikulomba na kukuacha singo maza,kwa umalaya wako.narudia!! hii kanda yote ni takataka watu wote wasiostaarabika wanatokea huku.
Unaongea hivi huku umetoka kumpiga kikumbo cha haja Mzee wa makamo ukigombea siti daladala za Gongolamboto.narudia!! hii kanda yote ni takataka watu wote wasiostaarabika wanatokea huku.
😂😂😂😂 JF aisee!Nikishakutana na Mwanamke mweupe au mweusi ana chale tumboni, sijui mgongoni au kwingineko nampiga mbata ya mgongo (Salala), akiniuliza nampigia nini nampiga mbata nyingine kisha namwambia kwenda kule...
We unalalaga kweli?Shemeji bwana kwahiyo watumie sindano? í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Itabidi waganga wapelekwe short course í ¾í´£
Usiliangushe taifa mkuu kila la heri mpaka akamsimulie kagame