Watu wa karibu na Tundu Lissu wamshauri ajiuzulu vyeo vyake vyote ndani ya chadema na kustaafu siasa

Watu wa karibu na Tundu Lissu wamshauri ajiuzulu vyeo vyake vyote ndani ya chadema na kustaafu siasa

Husika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi hiyo ndo demokrasia yenyewe.

Kwa hizo shutuma Mh. Lissu asahau kushinda uwenyekiti bora aepuke aibu mapema
AJIHUDHURU?🥺🥺😂😂
 
Jamani sahizi malizieni usingizi tutaendelee na uzi badae mchana, naona watu wanauliza maswali hayaeleweki,
 
Ndiyo maana SATIVA kaamua kutumia lugha ngumu. Awali sikumuelewa, kumbe wajinga wengi sana humu.
 
Mke wa Lissu bila shaka anamengi sana ya kusema.Huyu jamaa ana maneno yanakera - sipati picha huko ndani kwa ndani alivyo - kama kwa nje yuko hivyo. Yaani yeye ni shutuma, kusema watu muda wote - utafikiri yeye ni mtakatifu..wakati yeye ni sehemu ya mfumo huohuo
 
Husika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi hiyo ndo demokrasia yenyewe.

Kwa hizo shutuma Mh. Lissu asahau kushinda uwenyekiti bora aepuke aibu mapema
hata akiachana na siasa unadhani chadema ya mbowe itashinda uchaguzi mkuu hapo mwakani? Kama ishu ni ccm kumbondea mbali lissu asipande juu kisiasa upinzani unaweza kuibuka kwingine hata nje ya mfumo wa vyama vya siasa na still ccm mkapata kibano heavy bila Lissu mnayemuogopa
 
Tulia we mfuasi wa dhalimu magu, ndani ya cdm kuna demokrasia pana watu wanashindana kisiasa na sio kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola.
Msaliti Lissu hana chake huyo. Jiandae usije ukafa na stress nyumbu. DJ Mbowe ndio Mwenyekiti anayeendelea mpaka kifo chake! 🤣
 
Hata mm nimeona ni mtu weak sana kwa kweli. Kitendo tu cha kutuhumu wezake ni sifa mbaya na ni ulaghai. Hafai hafai
Afadhali hata angewasilisha tuhuma zake ndani ya vikao vya chama kuliko alivyofanya.

Inaelekea nia yake ni kuvuruga chama; wala si nafasi ya uenyekiti.
 
Msaliti Lissu hana chake huyo. Jiandae usije ukafa na stress nyumbu. DJ Mbowe ndio Mwenyekiti anayeendelea mpaka kifo chake! 🤣
Nasema hivi, tulia we mfuasi wa dhalimu magu.
 
Back
Top Bottom