Na kanifundisha Kamunyonge Primary enzi hizoo, za kina Mabuba, Ally, Kuyenga, n.kHakuwa tajiri bali alikuwa mwenyekiti wa ccm! Alikuwa kimbau mbau fulani hivi.Umaarufu wake ulichagizwa na vibao kubandikwa mlangoni kuonyesha 'YUKO MKUTANONI,YUKO SAFARI,KALALA,BAFUNI,N.K" Bila kusahau kiswahili chake!
Inaanzia Mwigobelo? mbona huw anaona kama yale ni makarua tu? mnachukua muda gani hadi kinesi? Mtu akizunguka kwa barabara yupi anawahi kufika.Kuna pantoni toka mjini, japo na hizo mitumbwi zipo
Yap inaanzi mwigobelo. Kuvuka ni km daki 20 mpk nusu saa. Kwa barabara sijawahi kupita.Inaanzia Mwigobelo? mbona huw anaona kama yale ni makarua tu? mnachukua muda gani hadi kinesi? Mtu akizunguka kwa barabara yupi anawahi kufika.
buturi jiran na kirumiKuna pantoni toka mjini, japo na hizo mitumbwi zipo
Naongelea panton ya kutoka mwigobero kwenda kinesi.buturi jiran na kirumi
si kwa Pantoni unatumia muda mfupi sana, asante kwa taarifa mkuu.Yap inaanzi mwigobelo. Kuvuka ni km daki 20 mpk nusu saa. Kwa barabara sijawahi kupita.
Pantoni inakuwepo pale mara mbili kwa siku.
Napafahamu sana, miaka ile kabla lami ya kutoka makutano hadi Tarime haijajengwa, tulikuwa tunapita hiyo njia kwenda Tarime toka Mwanza, baada ya kirumi unapita huko buturi, Ochuna, unaenda hadi Kowaki unaibukia Utegi then unaitafuta Tarime.buturi jiran na kirumi
Kwa Pantoni unatumia muda mfupi sana, asante kwa taarifa mkuu.Yap inaanzi mwigobelo. Kuvuka ni km daki 20 mpk nusu saa. Kwa barabara sijawahi kupita.
Pantoni inakuwepo pale mara mbili kwa siku.
Tulikuwa tunaenda sana kule wkend, kwa kuvuka na pantonBa
Kwa Pantoni unatumia muda mfupi sana, asante kwa taarifa mkuu.
Kenyakati ya musoma na mara wapi kuna wajaluo wengi
kwa marwa jenelo unapafahamuMusoma home sweet home sehemu moja safi sana, nime enjoy kuishi sehemu hii, Iringo ndio maeneo ya kujidai kule custom tunawaka sana , vitu vinachukuliwa mwigobero pale mapoti washafanya ambush sana tukiwa tunawaka mara kibao tushakimbilia ziwani ili usidakwe maana mapoti hawaingii ziwani wanaogopa kulowanisha jezi!! nyie mnakimbia ila kuna raia na heshima zao wao wanawaka na hawakimbii mapoti afu fresh, ila wewe choka mbaya msingi mbio vinginevyo utasepa na rondo
mtaa wa uhuru pale sana tu kush kama zote, ikifika jioni uwanja wa mkendo wakush wanapata vitu vyao taratibu bila wasi huku tunacheki mpira
Nyasho kona kuna chimbo moja hivi kwenye miwa dah maisha ya kush yamefanya nijuane na wahuni wengi kichizi hata tukikutana maeneo sijawahi kabwa wala nini kisa tu tushakutana nao kwa sadali!!!
Masstown ni habari nyingine vurugu ni nyingi, nyembe na mapanga nje nje lakini bado life lilikuwa poa sana, sababu sio kila sehemu ilikuwa na utata
wasanii sijui fataki, lazzbaby, best nasso na wengineo aisee respect sana
[emoji3][emoji3][emoji3]Eti magido umenikumbusha mbali.Musoma tunaita Magido, Mapanki watu wa Mwanza ndiyo wanaita hivyo kipindi hicho pale walipojenga shule ya Baruti secondary ndipo kilikuwa kiwanda cha kukaangia
na kayabo unazijua[emoji3][emoji3][emoji3]Eti magido umenikumbusha mbali.
Kayabo ndio wale samaki wakavu waliopasuliwa au nimesahau!na kayabo unazijua
ndio alafu wanaanikwa na juani ukiwapika hao harufu yake cyo ya kitoto mtaa mzima watajua kuwa umewapika ila ni watamu wakipata mpishi bora.Kayabo ndio wale samaki wakavu waliopasuliwa au nimesahau!
Halafu ukipata na ugali wa udaga inakuwa safi kabisa.ndio alafu wanaanikwa na juani ukiwapika hao harufu yake cyo ya kitoto mtaa mzima watajua kuwa umewapika ila ni watamu wakipata mpishi bora.
Magido ni sangara walioondolewa minofu.Kayabo ndio wale samaki wakavu waliopasuliwa au nimesahau!
Mazara namfahamu alikuwa na kigorofa chake maeneo ya Songe ziwaniNanmfahamu, ingawa nina miaka mingi sana sijawahi kukaa huko zaidi ya kupita tu. wazee wengi wa miaka hiyo nawafahamu mkuu. Unamkumbuka Mazara, pesa ilimtembelea sana wakati wa biashara ya Sangara. Nilikuja kutana naye Kigoma miaka fulani yuko hoi kiuchumi