Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

mzee umenikumbusha mbali sana kipindi tunazamia Complex tunapitia mliman ukifika pale juu kuna mmasai unampatia mia 300 unazama ndani
 
mzee umenikumbusha mbali sana kipindi tunazamia Complex tunapitia mliman ukifika pale juu kuna mmasai unampatia mia 300 unazama ndani

[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] complex watoto wa kamnyonge walipenda kucheza na kukaa maeneo ya spika kila walijuana na yule Dj lima
 
kabadi mkubwa ama mdogo kama ni mkubwa saiv ni boda na ni mstarabu sana huyo mdogo nae saiv yupo mwanza
 
Yawezekana tulikuwa wote miaka hiyo.Hata jina lilikuwa Musoma Sec. tu,mambo ya Tech. yalikuja nishasepa 1991! Nyani,Baba,Chomoa,Bonge(Seleli) na jamaa wa kilimo alikuwa anajiita"jack of all but master of none" n.k. Maisha yanaenda mbio sana aisee!
 
Alikuwa anaitwa Mutalagala kama sijakosea alifariki 2007 nyumbani kwake nasikia walikuwa wakiweka vibao kama kapumzika, au hayupo, n.k
Hakuwa tajiri bali alikuwa mwenyekiti wa ccm! Alikuwa kimbau mbau fulani hivi.Umaarufu wake ulichagizwa na vibao kubandikwa mlangoni kuonyesha 'YUKO MKUTANONI,YUKO SAFARI,KALALA,BAFUNI,N.K" Bila kusahau kiswahili chake!
 

Umemaliza bweri makatani mwaka gani?
Maana mimi nimemaliza apo 2010
 

Umeongea vzr ila naisi makundi makubwa apo yalikua ni MBIO ZAVIJIYI na JAMAICA Mokazi nina historia ndefu ya jamaa yangu alieachwa kilema na aya makundi visa vya wanafunzi wa kike kutekwa na kufanyiwa ubakaji na hawa jamaa, wizi wa kunyanga’nya na kudhulu, kuna mtu amefaliki alikua nihatari anaitwa MUGASA
 

Unamjua mpka Ally bega we nzee ni hatari sana uyu jamaa katika kundi zima ndio alikua msela wangu sijui yuko wapi asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…