Watu wa sheria mtusaidie hapa

Siku nyingine uwe unasoma nyuzi vizuri, hakuna pahala nimeandika marehemu alikua na watoto wengine. Shame on you.
 
Kiwanja kinauzika mapema saa1 kabla hata mwalimu wa hesabu hajafika shuleni.
Muda mwingine puguzeni ulokole huyo binti anawaongozahadi kupandisha uzi hapa yupo a level je akimalzia akasomea hizo sheria amabazo unaziomba hapa si atakuja kuuza hadi kwako mkuu.

HUYO HATA MGAO HASTAHILI KABISA KABISA NI HURUMA NA UTU BASI NDO ATEGEMEE PIA ASIPEWE YOTE HIYO KAMA ANAKIBULI MPENI SABA TU ZINGINE TUTUMIE HAPA MEMBERS TULIKUSHAURI MKUU
 
Mjukuu mbona anawaendesha hivo nani anampa huo ujasiri? 😜
 
Yeye akagombee kwa baba yake mali na sio kuwaendesha
 
Kuna mambo basic kwenyw kila field mtu anatakiwa kuyajua
 
na mpaka hapa sijaona mwanasheria hata mmoja, ni heri ukasubiri msaada wa kisheria kwa sababu katika hali ya kawaida hamuwezi mkawa "ignore" tu watoto wa ndugu yenu.
au kisheria mwanamke hapewi urithi?
 
Nimekupata mkuu
 
Huyo mkuu hana chake hapo, atakula shea ya mama yake, yaani mjukuu awaumize kichwa?

cha msingi shea ya mama yake msimdhurumu
 
Huyo mkuu hana chake hapo, atakula shea ya mama yake, yaani mjukuu awaumize kichwa?

cha msingi shea ya mama yake msimdhurumu
Uhakika mkuu shea yake atapewa, sema anataka kujikoroga asije akakosa kabsa
 
Sawa mkuu nmekuelewa, kila la heri ktk huu mchakato wenu ila binti anapaswa kujua kwa uzito kabisa kwamba yeye hayupo kwenye familia yenu, atambue kwamba familia mna usimamizi wenu na mna maamuzi yenu ninyi kama ninyi yasioyoingiliwa wala kupangiwa na mtu yeyote yule.
 
Uhakika mkuu shea yake atapewa, sema anataka kujikoroga asije akakosa kabsa
Ha ha ha ha ha mkuu wewe mpe hata 2m tu au 3m hiyo 10m yote ya nini? Kwanini hizo 8m usinunue boda hata 2 au 3 au lah ufungue ofisini yeyote ikuingizie hata 10,000 kwa siku?

Huyo binti akikua usidhani kwamba atakumbuka mazuri yenu mkimpa hiyo 10m, save this date nakwambia haya. Dunia imebadilika sana saaana.
 
Kwenye mauzo dogo hausiki, unamwita wa nini, kwani nae ni signatory hadi mshindwe kuuza bila yeye!? Nyie uzeni mpeni chake!!
 
Yeye sio msimamizi wa mirathi ila tunachokifanya sisi ni kwamba tunataka tumgawie fungu la pesa kwa niaba ya mama yake aliyefariki ambae ni dada yetu.
Mtafutieni mshauri mzuri. Ni kweli ana hoja maana ana wasiwasi atapoteza pesa yake haraka.
Anaweza akaweza UTT au kwenye fixed account huko baada ya miaka mitano atumie pesa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…