Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Huyu ndio introvert sasa

Mkuu huyu ndio mimi
 
Umenena nilivyo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Upweke ndo utaniua hii hali inagoma kabisa kunitoka[emoji24]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Upweke mbaya sana sijui hii hali nitaishinda vipi nikitaka kuzieana na mtu naona kama ataniona nina shobo kwake na kiherehere naamua kumpotezea I'm too judgemental na nina reach conclusion kichwani kabla sijafanya kitu
 
Nimetoka kupata dawa za Impiramine kwenye hospitali moja kubwa hapa DSM.

Sielewi ni Introvert au ni nini. Nina loneliness moja ya kufa hata kufanya majukumu yangu sitaki kabisa. I hope it won't get worse.

I don't want to be an Introvert. It hurts.
 
Nimetoka kupata dawa za Impiramine kwenye hospitali moja kubwa hapa DSM.

Sielewi ni Introvert au ni nini. Nina loneliness moja ya kufa hata kufanya majukumu yangu sitaki kabisa. I hope it won't get worse.

I don't want to be an Introvert. It hurts.

Usitumie dawa mkuu zitakufanya uwe tegemezi kwazo
 
Huu Uzi umenigusa sana , mkuu umeongea kana kwamba nimekueleza maisha yangu ukayaandika JF.Sasa nimejua Mimi ni introvert, tena kwelikweli. Mtihani zaidi ni kutongoza
 
Huu Uzi umenigusa sana , mkuu umeongea kana kwamba nimekueleza maisha yangu ukayaandika JF.Sasa nimejua Mimi ni introvert, tena kwelikweli. Mtihani zaidi ni kutongoza
Welcome to the club...
 
Nimetoka kupata dawa za Impiramine kwenye hospitali moja kubwa hapa DSM.

Sielewi ni Introvert au ni nini. Nina loneliness moja ya kufa hata kufanya majukumu yangu sitaki kabisa. I hope it won't get worse.

I don't want to be an Introvert. It hurts.
Time heal.....upweke ndio tatizo letu kubwa sana,mimi binafsi nakutana na hiyo hali sana hasa wakati wa wikiend kama nikiwa niko mbali na familia
 

aah you’re that guy in high school/ college
 
Daah kuna mshkaji alikua na tabia hizo za kikuda kuda (Mood swings) mara aongee, kesho anune aisee nilimchana nikamwambia sitakagi mazoea kabisa na washkaji wenye Hizi tabia za kama vile demu aliyeko period.

wengine wagonjwa inabid ufahamu hilo (bipolar)
 
People kuna tofaut kat ya kuwa social anxious, na kuwa introvert
Kuna aina ya introvert ambao ni anxous introvert,ambao wao ni vigumu sana kusocialize,wapo ambao wanaweza kusocialize kwa kiasi fulani ambao wapo kwenye kundi la social introvert,mimi binafsi najiona kwenye kundi la restrained introvert
 
Upweke mbaya sana sijui hii hali nitaishinda vipi nikitaka kuzieana na mtu naona kama ataniona nina shobo kwake na kiherehere naamua kumpotezea I'm too judgemental na nina reach conclusion kichwani kabla sijafanya kitu

Hii kitu nili experience unajua tatizo ni nini! Hapo kila mtu anabalance shobo hata huyo unaetaka kuongea nae utakuta na yeye anataka kuongea na wewe ila anaona kama atashoboka.

Chamsingi wewe anza utaona atakavyokupokea kwa shangwe, nimefanya hivyo siku hiz naongea na watu kibao, kudhani kuwa watakuona una shobo.. it’s all in your head mkuu sio kweli, tena utapewa sifa ya “fulan mcheshi lazima akusalimie” ... hivyo Yaani
 
Ni muhimu kujua haya mambo ya "personality" unakuta baadhi ya wazazi wasiojua mambo ya "introvert vs extrovert" wanaishia kuwakaripia baadhi ya watoto....

"hebu changamka wewe mbona umezubaa zubaa tu huchezi na wenzako kama fulani"

.....bila kujua pengine ni introvert na hawezi kabisa kuwa na "social interaction" hasa kwa watu ambao ni wapya na hawajazoea.

Introvert = draw energy from within themselves
Extrovert = draw energy from each other.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…