Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Wewe ni Nyerere?Na magroup ya WhatsApp. Kama mimi niko active sana huko kwenye magroup lakini uso kwa uso, bonge la introvert.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Nyerere?Na magroup ya WhatsApp. Kama mimi niko active sana huko kwenye magroup lakini uso kwa uso, bonge la introvert.
Wewe ni muoga na hujiamini. Sio introvert!Hii hali inanitesa sana tena sana kwenye nyumba tumepanga 9 ila sina namba ya hata 1 na nina mwaka mimi nilikua na marafiki 2 mmoja akanisaliti moja bado yupo tena mbali marafiki wangu ni sim na redio tv nilirudisha kwenye box maana niliona haina kazi kwangu yani mtu mwenye uwezo wa kituelewa watu kama sisi ni wachache sana. Duh natamani nikacheze bao lakini najikuta hata kuchangia siwez nikienda kwenye mpira nakua bubu nikienda sehemu kupata kinywaji nikikuta pana watu wengi hamna sehemu yakukaa peke yangu naondoka atakama nitapewa ofa nitaikataa kisiasa napenda kua peke yangu yani mm nizaidi na zaidi
Kuna wapuuzi utasikia... "Siku ukipata tatizo watu watakuangalia tu kwa kuwa huna mazoea nao...", anasahau kuwa mwenye akili timamu na muungwana hahitaji umzoee au ujipendekeze kwake ili akupe msaada. Hao watu wa mpaka sijui akujue, mara mzoeane ndipo atoe msaada huwa washenzi tu kama washenzi wengine.Sio unajiona upo sawa, sema TUPO SAWA, mbona tunaishi fresh tu hatumkeri mtu,
Tena mimi nipo sawa tu, huwa sipendi tabia ya kubabaikia mtu, ishu zangu zote huwa nazimalizaga mwenyewe kibingwa tu
Naam, ndio mimi mwenyewe.Wewe ni Nyerere?
Iinawezekana pia ila najua mimi sio mwoga nikiwa kikazi zaidi au mambo muhimuWewe ni muoga na hujiamini. Sio introvert!
Wanashindwa kutofautisha kuishi na watu vizuri na kujichanganya na watu,Kuna wapuuzi utasikia... "Siku ukipata tatizo watu watakuangalia tu kwa kuwa huna mazoea nao...", anasahau kuwa mwenye akili timamu na muungwana hahitaji umzoee au ujipendekeze kwake ili akupe msaada. Hao watu wa mpaka sijui akujue, mara mzoeane ndipo atoe msaada huwa washenzi tu kama washenzi wengine.
Heshima yako boss!Naam, ndio mimi mwenyewe.
Ndiyo hao ukisikia issue zao za mademu unakataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa, na wanajua kujieleza na kupangilia maneno. Umesahau na hii: wanaweza kumtongoza msichana yeyote wakimtaka.
Heshima yako boss!
Sasa mbona unatunanga mkuu?Ndiyo hao ukisikia issue zao za mademu unakataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahahah we' ms3ng3 mkorofi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakuna kitu kibaya kama kuwa introvert halafu tena uwe na kibamia hakuja rangi ambayo hautaiona
Shukrani sana! Hivi uliuawa au ulikufa natural death??Ikurudie yote, zee.
Shukrani sana! Hivi uliuawa au ulikufa natural death??
Naomba usichoke Mwalimu. Na mbona kuna tetesi kuwa ulipewa zawadi ya wine siku ya b/day party yako ambayo ilikuwa imepandikizwa leukemia, na ndio ambayo ilikuua? Tuweke wazi tafadhali.Unaendeleza ukorofi. Natural death - leukemia.
Social anxietyToka nizaliwe sijawahi kuwa na rafiki hata mmoja,na nafurahia maisha bila tabu yoyote.Napenda wakati wowote niwe peke yangu bila kelele.Naona kujichanganya na watu ni kujitafutia stress na hakuna umuhimu huo.
Hizi ndio tabia zetu halisi,sio kila mtu anaweza kuwa rafiki yako,tunajiamini kupita maelezo,inafikia watu wanasema ngoja tumuone akipata tatizo nani atamsaidia,likifika tatizo wanashangaa limepita na hakuna lililokupata,kumbe hawajui kuwa kiroho Introverts huwa anakuwa kila wakati ameshatengeneza solution kwa matatizo yake na hii ni kwasababu ya kujiamini sana...Siku zote huwa nakaa Mbali na Watu wanaoongea sana..!
Na wale wanaotaka kunizoea kwa haraka!
Nina Marafiki 2 tu....! Lakini rafiki zangu hao sio introverts!
Binafsi hata kuwa na Demu mpaka nitengeneze Urafiki kwanza...!!!
Napenda kujitegemea kifikra, kiuchumi na kila kitu!
Naweza kusema na Moyo wangu nikatatua matatizo ndani yangu!!!