Grace glory
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 374
- 531
Yaani kivyovyote vile uwe umerudi au unaenda, bado haiwez kuthibitisha kuwa mungu yupo, yaani jibu la alieanzisha ulimwengu ni mungu ni uongo, la sivyo nivitu vya kufikirika tu,Mzee usikariri, eti kufikiria tofauti, kivipi??unafikiriaje tofauti?? Unadhani kila mtu anayeamini katika mungu ni mwoga wa moto?? Au ana hofu ya neno liitwalo "dhambi"?? some of us tushawahi kuwa atheists na bado tukarudi kuamini katika mungu, USIKARIRI MZEE.
Hayo ni maoni yako peke yako kulingana na mawazo yako hayana uhalisia, wewe unauhakika gani mimi nimeshiba mkuu? Au unataka nikuombe chakula ndio uamini kuwa huyo mungu hayupo?Mwanadamu akiwa na njaa atakumbuka kila aina ya Mungu aliyepo, lakini akishakuwa na hakika ya kula hakuna tusi hao Mungu wataacha kupokea...
Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.
Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.
Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,
Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.
Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.
Sababu nyinginezo ni kama
- Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
- Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
- Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
- Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Hayo ni maoni yako peke yako kulingana na mawazo yako hayana uhalisia, wewe unauhakika gani mimi nimeshiba mkuu? Au unataka nikuombe chakula ndio uamini kuwa huyo mungu hayupo?
SeenYaani kivyovyote vile uwe umerudi au unaenda, bado haiwez kuthibitisha kuwa mungu yupo, yaani jibu la alieanzisha ulimwengu ni mungu ni uongo, la sivyo nivitu vya kufikirika tu,
Hivi kuna ubaya gani Mtu akifa?Vipi watoto wadogo wanaokufa kwa baa la njaa maeneo mbalimbali duniani lakini Mungu huyo hajawahi kuwapa msaada wowote ule?
Watoto wadogo tu hawana uhakika wa kula na huyo Mungu hana msaada wowote kwao, wengi wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa.
Fuatilia vifo vya watoto wadogo wanaokufa kwa njaa nchi za Ethiopia, Somalia, Afghanistan, Kaskazini kwa kenya n.k
Sasa kama Mungu huyo Kashindwa tu kuwapa uhakika wa kula watoto wadogo kama hawa, Sembuse mimi mtu mzima?
Mungu huyo hana msaada wowote ule kwenye uhakika wa kula kwa wanadamu.
Mungu huyo hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Kifo kinaleta huzuni kwa kupoteza nguvu kazi na watu muhimu kwenye nyanja mbalimbali za kifamilia, kijamii na kitaifa.Hivi kuna ubaya gani Mtu akifa?
Na kuna uzuri gani Mtu akiishi?
Kipi kinafanya uone kuishi ni Bora kuliko kufa?
Okay,.Kifo pia kina faida zake nyingi Tu,......Wewe umeamua kufocus na hasara za kifo,.vipi kuhusu faida za kifo?Kifo kinaleta huzuni kwa kupoteza nguvu kazi na watu muhimu kwenye nyanja mbalimbali za kifamilia, kijamii na kitaifa.
Watoto wanakosa wazazi wao wa kuwasaidia malezi yao na kubaki yatima.
Binafsi sioni ufikiriaji maana inajulikana toka enzi na enzi kuwa kuna wenye kuamini Mungu na wenye kudai hakuna Mungu, hivyo hakuna cha ajabu hapo kwa mtu kuamua kufuata upande wa wenye kudai hakuna Mungu hadi nione kuwa ni ufikiriaji tofauti.Kufikiri tofauti kunahitaji utulivu wa akili.
Kwahiyo wenye kudai hakuna Mungu wamejiridhisha kuwa huko Mbinguni hakuna huyo Mungu?Mbinguni.
Ambapo kwa imani nyingi ni beyond the sky juu huko..😄
Hivi unakubali kuwa kufa ni lazima?Kifo kinaleta huzuni kwa kupoteza nguvu kazi na watu muhimu kwenye nyanja mbalimbali za kifamilia, kijamii na kitaifa.
Watoto wanakosa wazazi wao wa kuwasaidia malezi yao na kubaki yatima.
Kwanza Mbingu hiyo haipo.Kwahiyo wenye kudai hakuna Mungu wamejiridhisha kuwa huko Mbinguni hakuna huyo Mungu?
Ndio ni lazima.Hivi unakubali kuwa kufa ni lazima?
Una uthibitisho kwamba uliumbwa na huyo Mungu?Watu wanamkataa Alie waumba kweli
wanadamu vibuli sana lakini ipo siku atajua kama yupo Mungu akitaka atajua
Kwanini kufa ni lazima? Ni kwa sababu tu tunaona watu wakifa?Ndio ni lazima.
Kwahiyo Rais ambaye tunajua makazi yake ni Ikulu asipokuwepo Ikulu automatically rais huyo anakuwa hayupo?Kwanza Mbingu hiyo haipo.
Na automatically Mungu huyo hayupo.
Hivi haujaelewa nini hapo? Sasa kama umesema rais anakaa ikulu na ukaenda haujaikuta ikulu utawaza nini.?Kwahiyo Rais ambaye tunajua makazi yake ni Ikulu asipokuwepo Ikulu automatically rais huyo anakuwa hayupo?
Hapo kuna Rais na kuna Ikulu, ni kweli makazi ya rais ni ikulu ila kwa nini tufikiri kuwa isipokuwepo ikulu na uwepo wa rais unapotea?Hivi haujaelewa nini hapo? Sasa kama umesema rais anakaa ikulu na ukaenda haujaikuta ikulu utawaza nini.?