green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Agiza Lite za baridi barafu kwa pesa yako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Momumo KalumbuWanyakyusa tunasema kona ubhwalwa abhana bhende kitali amenye umnabho... yaani PIGA POMBE MPAKA WATOTO WATEMBEE UCHI ATAJUA MAMA YAO..
Nafuu mnyw ajiHakuna penye nafuu?
Hahaha ndagha fijhoMomumo Kalumbu
Huu mzani ukishindwa kuufanyia ulinganifu (balance) rafiki yangu unachana mkeka fasta [emoji23]Mpaka sasa sijui nishike lipi ili niwe na furaha kati ya pesa, pombe au wanawake.
Ukinywa kwa kiasi inakuwa ni starehe, ukinywa kwa pupa inakuwa sio starehe sasa ni karahaKama unahisi pombe ni starehe,jaribu kunywa uone..
Tunapokunywa tunaona starehe,ila kesho yake ndo utaelewa...
Cheers [emoji482][emoji481][emoji1635]Wanywa pombe wanapendana Sana na wanaumoja wa nguvu, kwenye matukio wanasaidiana sana, yaani kutoana aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeNimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
Mafanikio gani?Aisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.
Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.
Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.
Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.
Nini siri kubwa ya mafanikio?
Umeshalewa tayari.Nimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
Wengi wanajuta sana wakiwq sober na hata wakilewa na wengi wao ni waoga na wanaogopa kuuface uhalisia wa maisha wakiwa soberAisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.
Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.
Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.
Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.
Nini siri kubwa ya mafanikio?
Mapema sana nimetoka kazin sio muda nimepitia kwa manka hapa napata hard liquid na kitimoto pemben nikifika hom nikalale No shobo na Mtu yaan no kweree bablaii tunaish maisha yetu yan yentee yenteeUmeshalewa tayari.
Na zile chenchi za buku buku hua zinawekwa kwny mfuko wa kushoto, maumivu Ni asubuhi yake Sasa.Tunaokunywa kamnyweso tuna furaha... Kuna vibe fulani hivi linakujaga automatically from no where, unajikuta unasahau shida unafurahia
Ni nadra sana kumkuta mtu anakunywa pombe analia au anasikitika
Hapa bado bangi nimemtuma shemej yako akanunue kwa mamong'oo unga limited pale chapuu tukiwashe then tupike mahesabu ya siku then tulale na kushukuru mungu kwa uzima wa siku nzimaUmeshalewa tayari.