Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Kama unahisi pombe ni starehe,jaribu kunywa uone..

Tunapokunywa tunaona starehe,ila kesho yake ndo utaelewa...
Ukinywa kwa kiasi inakuwa ni starehe, ukinywa kwa pupa inakuwa sio starehe sasa ni karaha

Formula ya pombe idhibiti, isikudhibiti, kwa maana "ukiingia kwenye mfumo" wake umeishaa [emoji3][emoji2][emoji1]
 
_20231013_203625.JPG
 
Nimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
 
Nimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
 
Aisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.

Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.

Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.

Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.

Nini siri kubwa ya mafanikio?
Mafanikio gani?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Nimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
Umeshalewa tayari.
 
Aisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.

Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.

Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.

Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.

Nini siri kubwa ya mafanikio?
Wengi wanajuta sana wakiwq sober na hata wakilewa na wengi wao ni waoga na wanaogopa kuuface uhalisia wa maisha wakiwa sober
 
Umeshalewa tayari.
Mapema sana nimetoka kazin sio muda nimepitia kwa manka hapa napata hard liquid na kitimoto pemben nikifika hom nikalale No shobo na Mtu yaan no kweree bablaii tunaish maisha yetu yan yentee yentee
 
Tunaokunywa kamnyweso tuna furaha... Kuna vibe fulani hivi linakujaga automatically from no where, unajikuta unasahau shida unafurahia

Ni nadra sana kumkuta mtu anakunywa pombe analia au anasikitika
Na zile chenchi za buku buku hua zinawekwa kwny mfuko wa kushoto, maumivu Ni asubuhi yake Sasa.
 
Back
Top Bottom