Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Malisa ndio mwanzilishi wa mama anaupiga mwingi.
Tunafutwa machozi
😂 😂 😂
Hawa wanafiki kama Malisa ni hatari sana kwa jamii yetu...

Kabla hawajafikiwa waliwaita wenzao sukuma gang na bla bla zingine...

Sasa wamefikiwa wanapiga mayowe...

Watanzania tujifunze kuchunguza akili za viongozi na kuwapinga hata kama kwa mda huo wako upande wetu...

Kuna watanzania wenzetu waliona mapema kwamba mama hawezi kua kiongozi mzuri...

Sasa tutulie.
 
Mzee mmoja alipata kuniambia mambo matatu ya kuchunga maishani kuepuka matatizo yanayo epukika
1. Tii mamlaka (serikali)
2.Ishi VIZURI na watu/ jamii inayo kuzunguka ishi nao vyema.
3.Heshimu/ wapende wazazi,familia,ukoo na nduguzo
Wahenga walisema "Heri kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti
 
Sijaelewa umesema wametekwa na watu wasiojulikana alafu unasema wapi kituo Cha polisi kilwa road na pia wamepelekwa polisi changombe
 
Bush Dokta njoo usome ninachomaanisha. Hiki hapa kwa King Kong III
 
Okay kumbe unamjua? Tuache huyo mwanaharakati na hao wengine vipi?

Na je huyo mwanaharakati yeye amevunja sheria gani?
Mimi sijajua kosa lake kwa sasa, lakini ukifungua ukurasa wake wa X zamani Twitter utaziona harakati zake.
 
Huwezi kuzuia 'mfumo asili' (nature) kwa mtutu wa bunduki.

Kama aina ya uongozi wa ccm haukubaliki tena na jamii hata watumie maguvu ya kila aina, lakini wataanguka tu...ni suala la muda.
CCM ina miaka 63 inatutawala
 
Wakati wako utafika pia. Wakati wa Mungu.
 
Mwenye marasta
Swali kwamba kwann hawakusema mapema na sahizi wanaitwa kibwege nawao wanaitikia
 
Majambazi katika uniform za jeshi la polisi
Hii habari haileweki pikipiki. meibiwa halafu mtu aliyeibiwa anampa taarifa kiongozi wa Chadema eti waongozane na kiongozi wa Chadema polisi

Pana ukakasi fulani kwenye taarifa ya mleta mada
 
Hii mbinu yako itafanya kazi kama kweli ni vibaka wanaotaka kukuibia lakini sio Watekaji ambao wanakuja na Baraka zote kutoka juu.

Inafanya kazi mkuu ,kuna maeneo watu wamepinda ,hawajali hata kama una mashine au umesahau yule jamaa wa ccm aliyeuawa mwanza huku akiwa na mashine mkononi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…