Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mtu akivumishiwa ni shoga,,Sio kuhisi
Huwez zungumziwa sana kiasi hiko na bado ikawa ni hisia.
Lisemwalo lipo ..ni muda tu.
OK mkuu..View attachment 1723555
Nilitaka kuweka rekodi sahihi tu mkuu. Watu wengi wanachanganya ni bidhaa tofauti hizo. Wewe na mrangi najua mnaelewa. So sina shaka na bei ulizoandika
Niliyemquote aliongelea Cocaine mkuu
Wewe unaona yamepamba moto kipindi cha Makonda sababu ya huyo jamaa kupenda attention za Media,sa hivi OP ni kimya kimya tu IMO.nakushangaa!!!
unaongelea zama zilizo pita au zama hizi za JPM???
sidhani, vita hii yanmapambano dhidi ya wafanya biashara wa madawa ya kulevya ilikolezwa moto na aliye kuw Mkuu wa Mkoa w DSM na baada ya hapo mapambano yaliendelea na wahusika wengi walikamatwa na wengine walisalimu Amri,
sasa hali inaonekana kama vile imeaanza kuibuka, inaonekana kama vile wamepata nguvu ya kuamka,
tunaomba kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya kiongeze juhudi zaidi.
Du, mi sio mtaalamu lakini huo mzigo mkubwa sana kwa Heroin, ungeingia mtaa lazima ungeondoa at least kijana mmoja, Heroin is very lethal30kg? Wataalamu tuambieni street value ya huu mzigo
Umri nao sijui unachangia...kuna watu wakipata hela hawawezi kula bata kimya kimyaNa hashtag yake et mivimbonation,yaan kazi yake yeye ni kutuvimbia tu kitaa[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1723003
Sio bongo muvi tu hata hollywood...biashara ya unga na entertainment industry ni kama pete na kidoleKuna Bongo Movie walikuwa wanadharau kumbe wafadhiri ndio hawa wauza ngada
SIO LAZIMAYanayotokea msituni yatabaki msituni.
Hivi unayajuwa yanayoendelea na watu wanaoishi Hongkong to China.?
In every successfully man there is a dark secret behind..
Wivu tu na kuzoea umaskiniSio kuhisi
Huwez zungumziwa sana kiasi hiko na bado ikawa ni hisia.
Lisemwalo lipo ..ni muda tu.
Mkuu naweza pata jina analotumoa insta nikamsaminisheNa huyo allu ni pisi kali kishenzi, ukimuona kama wakutoka nje vile.
Vunja labda kajisogeza kwa babu..ila maduka anayomilk bado ni kawaida sana.Hata mtu akivumishiwa ni shoga,,
Lazima kuna basha kishamla na ndy kavujisha taarifa.
Nina maana hizi biashara hufanyi peke yako.
--Utafanya wewe.
--Utatuma mtu..
--Utakwenda kufata pesa.
--Utadai madeni.
Huko ndy unapokutana na wauzajj wenzio..
Mimi kuna inchi moja nilishawahi kupita kule,,ktk kutafuta maisha.
Miaka fulani nilikutana na watu wengi sana,
Tena wengine wana wadhifa mjini hapo Tanzania.
Tukashangaana sana.
Wht happened in the jungle stays in the jungle.
Hahahahahahaha .Huyo mwenye pajama ya blue mbona mofoloji yake inatia shaka? Ni mwanamme kweli? Halafu 24 mbona wana miili mikubwa sana?
hamna cha kimya kimya,Wewe unaona yamepamba moto kipindi cha Makonda sababu ya huyo jamaa kupenda attention za Media,sa hivi OP ni kimya kimya tu IMO.
Vunja labda kajisogeza kwa babu..ila maduka anayomilk bado ni kawaida sana.
M10 tu kwa biashara ya china ndan ya 2 ys una maduka 6
Bongo ukitusua tu lazima uongelewe sana..Sio kuhisi
Huwez zungumziwa sana kiasi hiko na bado ikawa ni hisia.
Lisemwalo lipo ..ni muda tu.
Ndio kaanza zamani k.koo kwenye kigoliMkuu biashara yake inazaman ya 4.6 B.syo biashara ndogo iyo.
Yaaani ni balaa lazima watu wakutengenezee uwalakini kibaoBongo ukitusua tu lazima uongelewe sana..
Hahaha siasa ina watu wake mkuuBora kuwa mwanasiasa
Wamekamatwa wengi hapa juzi kati. Unamfahamu Kiboko yule wa Tegeta. Manyumba na hotel zake yamebaki magofu tu. Kuna wale waliokamatiwa mtwara...yule mwingine wa Tanga...wote hao ni heavyweights sio kama hawa madogohamna cha kimya kimya,
tunataka kuona wauza madawa ya kulevya wote ktk mkoa wa DSM wanafikishwa mahakamani, tunataka kuona mitandao kuanzia wakubwa wao mpaka watumiaji wote wanakamatwa.
kwakweli hivi sasa wauzaji na watumiaji wameanza kuibuka tena.
Duh mkuu ya Mungu mengi sijuwi kama nitakuwepo 50/50%Naomba unitumie picha ya huyo dada wa miaka 24, atapotoka akiwa na hiyo 50, hatokuwa na mizinga ya kutuma na kuyatolea. Askari magareza tunaufidigi pisi mya hiyo 😀😀