Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
ππππ hili nalo neno. Ngoja nisubiri wengine watapochoka mie ndio niingiez nawapa mieiz sita tu, wata watenga, alafu mie naingia na nguvu kweli kweli tena ya maana
Miezi sita mingi sana man. Miwili tu au mitatu. Kikubwa tafuta jina lake full. Ujue atafungwa wapi. Ukifika akiuliza we nani unasema mi follower wako Instagram. ππππππ hili nalo neno. Ngoja nisubiri wengine watapochoka mie ndio niingiez nawapa mieiz sita tu, wata watenga, alafu mie naingia na nguvu kweli kweli tena ya maana
ππππ na kweli miezi mitatu wataanza choka kwenda segerea kama leo. Najua leo wamejazana huko. Nitaanza mvt soon, wana mwesheria kweli ? Maana kama hawana hiyo ndio kiko nzuri ya kuingiliaMiezi sita mingi sana man. Miwili tu au mitatu. Kikubwa tafuta jina lake full. Ujue atafungwa wapi. Ukifika akiuliza we nani unasema mi follower wako Instagram. ππ
Maisha ni kubet. Ngoma ikitema unakula pasafi kinoma. Sema mkeka ukichanika sio mbaya. Hasara roho. Ila uwe mvumilivu. Unaweka tu timetable kila jumamosi moja ya mwezi au mbili unamuibukia na mazaga zaga ya kula.ππππ na kweli miezi mitatu wataanza choka kwenda segerea kama leo. Najua leo wamejazana huko. Nitaanza mvt soon, wana mwesheria kweli ? Maana kama hawana hiyo ndio kiko nzuri ya kuingilia
Napeleka na mshauri wa kisaikolojia na mambo ya kiroho ili kuunda base imaraMaisha ni kubet. Ngoma ikitema unakula pasafi kinoma. Sema mkeka ukichanika sio mbaya. Hasara roho. Ila uwe mvumilivu. Unaweka tu timetable kila jumamosi moja ya mwezi au mbili unamuibukia na mazaga zaga ya kula.
πππ anza homework sasa huu muda. Kujua taarifa za msingi.Napeleka na mshauri wa kisaikolojia na mambo ya kiroho ili kuunda base imara
Natafuta mmbongo movie mmoja, niende nae kama chambo, ili mtoto anione na anijue, next time naibuka mwenyewe kuonesha upendo...πππππ anza homework sasa huu muda. Kujua taarifa za msingi.
Na viatu Kindoni, Sinza & MikocheniNoma sana halafu wanakuwa wanazuga na maduka ya nguo kuficha UZUNGU wa UNGA.
Said Mbasha Kwisha kazi.
Hii biashara kadri unavo engage mtu / watu ndio unavosogea kuwa blown kama wanavosemaga vipepeo..Kama nna hela wapo watu maalum una wa engage unawalipa kazi yao inakuwa kupeleka chakula siku zote....
Unachotakiwa kujua ni kuwa hao sio wamiliki wa huo mzigo ila wasambazaji. Shida ya pod wakuu wenu wakizinguana ndio wanachomeana mwisho vinakamatwa vidagaa kama hiviHao ni wageni wa kazi hiyo
Inaelekea walipopata line hiyo
Walikuwa na wenge mambo mengi
Acha wanyooshwe kg30 hawatoki kirahisi
Rahisi sahv na walivyokuwa warembo huko
Jela watabadilika
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ah ah naona whozu ushakuja....haya bana....na macover ya iphone mwenge je?kiongozi kama jamaa anafanya biashara nyingine sijui ila biashara ya nguo kama una mtaji mkubwa inalipa
ukisha zoeana na mchina huna haja ya kusafiri ni kuletewa mzigo tena si lazima ulipe cash mzigo wote
kuhusu masuala ya kodi sijui sana ila hivyo vinguo vya kkoo vinavyouzwa 15k 20k kwa wanaofanya hizo biz ukienda turkey china bei ya jumla wanachukua kwa mpaka 3k pc moja
Sahv wamelala mchongomaa
Kijungu chote kitaisha hko jelaNi huyo?
Hataariii na nusu!Kijungu chote kitaisha hko jela
Tamaa zimemponzaaa
Ova
Huyu walichelewa wakati wanashtuka ye tiari alishamaliza mzigo pesa akazitakatisha Kwenye maduka hivyo yupo safe kwa sasahuyo jamaa ma sifa yatamponza na ulimbukeni..anadhani kwamba kila mtu anaamini kwamba mahela anayomwaga ni kutokana na biashara ya nguo?
Hivi Damon dash Mtu mrefu hawajamdaka? Na mama yake emba vipi?muda sijatimba kinoKijungu chote kitaisha hko jela
Tamaa zimemponzaaa
Ova
Kwani hujui kusoma? soma kwanza ndio uanze kuuliza maswali yako ya kitoto. Mwandishi kaandika majina matatu,moja la kike na mwanamke mwenyew ndio huyo unayeulizia umbo lake. Muwe mnasoma kwanza kilichoandikwa badala ya kuwa na mihemuko na picha.Huyo mwenye pajama ya blue mbona mofoloji yake inatia shaka? Ni mwanamme kweli? Halafu 24 mbona wana miili mikubwa sana?
Umeadimika sana na unakuja kwa kubipu njoo Bobo upo wapiHahahaaaa...hapo sasa ndo tatizo