fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Hatari sana mkuu jela kubayaKabisa mvua miaka 20 ukitoka hata miaka 5 ramani ishapotea, network zimekata, huna namna!
Everyday is Saturday............................... 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana mkuu jela kubayaKabisa mvua miaka 20 ukitoka hata miaka 5 ramani ishapotea, network zimekata, huna namna!
Everyday is Saturday............................... 😎
Dah bora kujinyonga kuliko kufanya hii biashara!Watahukumiwaje mapema wakati kuna watu wamekamatwa tangu 2010 upelelezi bado haujakamilika?
Siku hizi kesi ya madawa hata kuhukumiwa mahakamani pia lazima uhonge.
Vinginevyo utasota mahabusu hata miaka 15 bila hukumu.
Wee unataka vijana wafanye kazi gani ? Wee hiyo mambo ya poda mbona kazi ngumu kinoma au mpaka uchimbe mtaro ndio ujue kazi ngumu.Kati ya hao mademu Kuna demu mmja ana undugu na wema sepenga ndo maan bongo movie walikuwep mahakaman
Sema hao madogo wanatumika sna kisa wanaopenda mambo easy.....
Coca na heroin zina value tofauti!kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Uwoga wako ndio umaskini wakoWanatunyoosha haswa wengine tunajiuliza tunafeli wapi.?
Sisi sio producers wa hayo mambo hivyo haiwezi kuwa na bei ndogo kiasi hicho kuliko USA ambapo ni pua na mdomo.kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Hawatatoka leo labda miaka 30 ijayomrangi hao wajomba watatoka na hutaamini, ni watoto wa mtu hapa town sio rahisi kuwafunga ila jamaa anafanya biz kisenge sana. Keshawaharibia madogo ila enewei mfanyabiashara kapata hasara tu hapo
mrangi hao wajomba watatoka na hutaamini, ni watoto wa mtu hapa town sio rahisi kuwafunga ila jamaa anafanya biz kisenge sana. Keshawaharibia madogo ila enewei mfanyabiashara kapata hasara tu hapo
kumbee mi nikajua katoka asee dahNoma sana maisha yake yanaenda kumalikia jela mzigo waliodakwa nao mkubwa sana.....Namuhurumia Shamim Zeze yupo nyuma ya nondo kitambo.
Bado maisha ya ujanja ujanja matamu halafu mafupi sasa yupo nyuma ya nondo ,hakuna kukaa kwenye balcony 1st floor kula upepo,hakuna kwenda shopping malls ,hakuna ac ya Range Rover ,hakuna bata kule ni kulala mchongoma.kumbee mi nikajua katoka asee dah
mzigo wao(wa nguo) hawachukui kwa vunjabei kweli.....Mark this tweetNoma sana halafu wanakuwa wanazuga na maduka ya nguo kuficha UZUNGU wa UNGA.
Said Mbasha Kwisha kazi.
Niliosema bei hyo ni Mimi mwandende,,kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Mauritius kule nihatari ukikamatwa ni life sentenceNiliosema bei hyo ni Mimi mwandende,,
Mkuu $ 255000 ni ndogo kuziandika kwenye karatasi.
Lakini ni nyingi sana hizo..
Mara nyingi hiyo mizigo wanapewa kwa mali Kauli.
Wenyewe halisi ni wahindi.
Mfano wao watauza hapa $ 8500,,
Muhindi atawapa kwa bei ya $ 4000 kila 1 kg ,,faida ipo wapi hapo?
Mara nyingi faida wanapata kutokana na uwingi wa mzigo wanaopata..
Au kuuza nje ya inchi..
Mfano akiuza ulaya kila kilo 1 ni $ 30000.
Hizo kg 30 zingekuwa dola ngp?
Hapo ndy wanapopatia faida kubwa sn..
Katika Africa Mauritius ndy panaongoza kwa bei kubwa ya heroin.
$40000 for 1 kg.
vijana wameamua kujitoa nusu maisha waishi kama role model wao hashpuppy.
watoto wameshindwa kung'amua maisha ya mitano tena sasa wanahamia kwenye nchi ya 30 tena chini ya kamanda cirro. hahaha
Now ktk Africa Tanzania ndy inaongoza kwa kifungo kirefu na kifungo tata.Mauritius kule nihatari ukikamatwa ni life sentence
Mkuu usiongee hivyo Mkuu,Dah bora kujinyonga kuliko kufanya hii biashara!
Haram Haram kweli miaka 15 sibora ufe tu kuliko kucheza na maisha au kuuza ata genge la mboga mboga!