Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watahukumiwaje mapema wakati kuna watu wamekamatwa tangu 2010 upelelezi bado haujakamilika?

Siku hizi kesi ya madawa hata kuhukumiwa mahakamani pia lazima uhonge.

Vinginevyo utasota mahabusu hata miaka 15 bila hukumu.
Dah bora kujinyonga kuliko kufanya hii biashara!
Haram Haram kweli miaka 15 sibora ufe tu kuliko kucheza na maisha au kuuza ata genge la mboga mboga!
 
Kati ya hao mademu Kuna demu mmja ana undugu na wema sepenga ndo maan bongo movie walikuwep mahakaman

Sema hao madogo wanatumika sna kisa wanaopenda mambo easy.....
Wee unataka vijana wafanye kazi gani ? Wee hiyo mambo ya poda mbona kazi ngumu kinoma au mpaka uchimbe mtaro ndio ujue kazi ngumu.
 
kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Coca na heroin zina value tofauti!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Sisi sio producers wa hayo mambo hivyo haiwezi kuwa na bei ndogo kiasi hicho kuliko USA ambapo ni pua na mdomo.

Pia Tz hakunaga cocaine mzigo mkubwa hivyo maana watumiaji wa cocaine hawapo

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
mrangi hao wajomba watatoka na hutaamini, ni watoto wa mtu hapa town sio rahisi kuwafunga ila jamaa anafanya biz kisenge sana. Keshawaharibia madogo ila enewei mfanyabiashara kapata hasara tu hapo

Ukumbuke enzi hizi sio za jakaya, unadhani kg 30 watatoka kirahisi? Mzee case za madawa siku hizi ni tofauti na unavozifikiria, ashindwe kuchomoka omari yanga wachomoke hao madogo? Kirahisi.
 
hii biashara ya dawa za kulevya bado inaendelea?

mamlaka husika wanapaswa waamke, maaana inaonekana wauza madawa ya kulevya wamebuni mbinu nyingine.
miaka mitano iliyopita kulikuwa shwari kabisa lkn hivi sasa wameanza kuibuka tena.

tafadhali vunjeni mtandao wote wa wauza madawa, mtandao unafahamika, kikosi cha kupambana na madawa ya kulevya tafadhali inaonekana kama mmepunguza moto.
 
vijana wameamua kujitoa nusu maisha waishi kama role model wao hashpuppy.

watoto wameshindwa kung'amua maisha ya mitano tena sasa wanahamia kwenye nchi ya 30 tena chini ya kamanda cirro. hahaha
 
kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaani
Niliosema bei hyo ni Mimi mwandende,,

Mkuu $ 255,000 ni ndogo kuziandika kwenye karatasi.
Lakini ni nyingi sana hizo..

Mara nyingi hiyo mizigo wanapewa kwa mali Kauli.

Wenyewe halisi ni wahindi(Pakistan)

Mfano wao watauza hapa $ 8500,,

Muhindi(Pakistan)atawapa kwa bei ya 4000$ kila 1 kg ,,faida ipo wapi hapo?

Mara nyingi faida wanapata kutokana na uwingi wa mzigo wanaopata.

Mfano akiuza ulaya kila kilo 1 ni 30000$.

Hizo kg 30 zingekuwa dola ngp?
Hapo ndy wanapopatia faida kubwa sn..

Katika Africa Mauritius ndy panaongoza kwa bei kubwa ya heroin.
$40000 for 1 kg.
Ikifuatiwa na shelisheli.
 
Niliosema bei hyo ni Mimi mwandende,,

Mkuu $ 255000 ni ndogo kuziandika kwenye karatasi.

Lakini ni nyingi sana hizo..

Mara nyingi hiyo mizigo wanapewa kwa mali Kauli.

Wenyewe halisi ni wahindi.

Mfano wao watauza hapa $ 8500,,

Muhindi atawapa kwa bei ya $ 4000 kila 1 kg ,,faida ipo wapi hapo?

Mara nyingi faida wanapata kutokana na uwingi wa mzigo wanaopata..

Au kuuza nje ya inchi..

Mfano akiuza ulaya kila kilo 1 ni $ 30000.

Hizo kg 30 zingekuwa dola ngp?
Hapo ndy wanapopatia faida kubwa sn..

Katika Africa Mauritius ndy panaongoza kwa bei kubwa ya heroin.
$40000 for 1 kg.
Mauritius kule nihatari ukikamatwa ni life sentence
 
Back
Top Bottom