King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahaha si unajua Inspector Haroun akizungumzia kitu anatoa version ya majina yote ,ina maana sawa na Lupango ,Jela.😂hahaha chechela ina maana gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha si unajua Inspector Haroun akizungumzia kitu anatoa version ya majina yote ,ina maana sawa na Lupango ,Jela.😂hahaha chechela ina maana gani mkuu
Watoto wa kiswahili hao ntomb...e nkale haohao wadada wanaonekana ni pisi kali
dadeki sio mchezoKilo 30 uzito wa mtungi mkubwa wa gesi ule ukiwa full duh
Au viduka vya I phone unashangaa mtu anauza simu au ana kiduka uchwara cha nguo afu anakula bata mwanzo mwenga unaanza kujiona una gundu jinsi unavo hustle afu mishe haziendi...Noma sana halafu wanakuwa wanazuga na maduka ya nguo kuficha UZUNGU wa UNGA.
Said Mbasha Kwisha kazi.
Hahahaha dah nyimbo zilikuwa zina tufurahisha sana aiseeHahaha si unajua Inspector Haroun akizungumzia kitu anatoa version ya majina yote ,ina maana sawa na Lupango ,Jela.
Eti viduka uchwara! Sema nao wamezidi sana kukariri mambo, yaani kila muuza ngada utakuta anazugia kwenye kuuza nguo, simu au vigari kadhaa vya kuzugia, mbona huwa hawadeal maybe na viwanda vidogo vidogo au vitu vingine?Au viduka vya I phone unashangaa mtu anauza simu au ana kiduka uchwara cha nguo afu anakula bata mwanzo mwenga unaanza kujiona una gundu jinsi unavo hustle afu mishe haziendi...
Hili life fanya yako usijifanishe na watu asee utapasuka ni noma
Ni shoga uyo nawajua wote hao uyo demu alipanga kitaaa ata miezi miwil hana wamedaakwaHuyo mwenye pajama ya blue mbona mofoloji yake inatia shaka? Ni mwanamme kweli? Halafu 24 mbona wana miili mikubwa sana?
Halafu na wewe unafungua unabaki unashangaa mbona sitoboi.... kumbe wenzako wana matobo yao wanayajua wenyewe.Noma sana halafu wanakuwa wanazuga na maduka ya nguo kuficha UZUNGU wa UNGA.
Said Mbasha Kwisha kazi.
Watamuoa tu kule Segerea na wahuni walivyo na ugwadu atajutaHuyo mwenye pajama ya blue mbona mofoloji yake inatia shaka? Ni mwanamme kweli? Halafu 24 mbona wana miili mikubwa sana?
Aiseee maana huo muonekano ulinitia shaka,duu huyo demu ana gundu.Ni shoga uyo nawajua wote hao uyo demu alipanga kitaaa ata miezi miwil hana wamedaakwa
huyo jamaa ma sifa yatamponza na ulimbukeni..anadhani kwamba kila mtu anaamini kwamba mahela anayomwaga ni kutokana na biashara ya nguo?Vunja price kaa chonjo.