Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Dah wasubiri mvua za kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo allu ni pisi kali kishenzi, ukimuona kama wakutoka nje vile.
Tanzania $ 8500 for 1 kg.30kg? Wataalamu tuambieni street value ya huu mzigo
Hamna kitu hapo,
Kesi zilizopita ilikuwa gram 30, naona sasa wamejua vipimo vya metric , wakaongeza sifuri tatu kuwa kg
Kilo 30 unga, hawa wamekuwa Cartel?
Watahukumiwaje mapema wakati kuna watu wamekamatwa tangu 2010 upelelezi bado haujakamilika?Waombe wahukumiwe mapema aisee
Mkuu vp tena!!
Tena akae chonjo saa mbaya hizi.Vunja price kaa chonjo.
Ndogo sana MKUU,Kweli inashtua kidogo...Kilo 30 nyingi sana
Siku unapokutana na hao waliokukamata Unajua hujui.KILOGRAM THERATHINI?
30 KG?
Watoto wadogo wanaendesha Range Rover si tunapambana miaka nenda rudi ndio tunapata Passo used 4th end baada ya kuchukua mkopo NMB. Dah.
kuna mdau kasema street value ya kilo moja ya cocaine bongo ni usd 8500 sasa ukipiga mara 30 ni usd 255,000 ambayo ni milioni 591..siyo hela nyingi kwa wauza unga ma don so it is possible kuwa na mzigo huo ndani.kumbuka walikamatwa na kama usd 12,000 cash na millions kadhaa za kibongo hizo walikuwa wamepokea hela za mauzo ya rejareja mtaaniNdogo sana MKUU,
Kabisa mvua miaka 20 ukitoka hata miaka 5 ramani ishapotea, network zimekata, huna namna!Aisee bora nikeshe baharini nikitafuta samaki au nifanye kazi yoyote ngumu kuliko poda ina kupoteza kabisa mtu akikutoa uraiani miaka 20 huwezi simama tena mkuu
mrangi hao wajomba watatoka na hutaamini, ni watoto wa mtu hapa town sio rahisi kuwafunga ila jamaa anafanya biz kisenge sana. Keshawaharibia madogo ila enewei mfanyabiashara kapata hasara tu hapoHawa walikuwa wanatumika kama chimbo&supply ni wageni wa kazi hiyoo
Wangejua sahv unga kuushika kukaa nao ni soo
Majigambo pia yamewaponza ndomna kesi yao mahakamani mpka bongomovie wasanii walienda kusikiliza mpk wengne wakaawa wanalia
Maana kutoka hawa ni mtihani
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kipnd hicho kama sikosei xsmax iphone zimetoka ama 11 ndo alikua nayo alikua anang'aa hatari shehe,, watu tukajua masponsor wamjini ,,ndo hivo sheheAlikua anawapa offer offer kidogo design anavhukuliwa na mandinga ya maana wana mnahisi anabahati?
Khatari sana mkuu, yaani huo mzigo value yake kama wasingekamatwa, si masikhara, ndio maana hiyo biashara haiwezi kuisha pamoja na adhabu kali sana kwa wanaokutwa na mizigo hiyoKILOGRAM THERATHINI?
30 KG?
Watoto wadogo wanaendesha Range Rover si tunapambana miaka nenda rudi ndio tunapata Passo used 4th end baada ya kuchukua mkopo NMB. Dah.