Watu watatu wafikishwa Mahakamani kwa kosa la mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita

Kosa miaka 20 iliyopita, watumiwa miaka 30, 32 na 34; maana yake walikuwa miaka 10,12 na 14. Okay
Walikuwa na miaka hiyo wakati wanafanya hilo tukio,sasa hapo hiyo miaka ongeza na 20 ndo upate umri wao wa saizi.
 
Kosa miaka 20 iliyopita, watumiwa miaka 30, 32 na 34; maana yake walikuwa miaka 10,12 na 14. Okay
Isome Tena taarifa! Mbona imeeleza wazi kwamba wametajwa na Umri WALIOKUWA NAO WAKATI WA TUKIO!
Kwa maana nyingine huo Umri Hapo ni WA Wakati wa Tukio... Sasa ili kupata Umri Kamili wa Wahukumiwa, Ongeza Miaka Ishirini!
Watuhumiwa Sasa Wana Miaka Hamsini naa...!
 
Some I Tena hiyo Taarifa Kwa Umakini! Imesema wazii Majina ya Watuhumiwa NA UMRI WALIOKUWA NAO WAKATI WA TUKIO!
Tatizo Kila kitu tunataka kusoma haraha haraka bila kutafakari!!
 


Kuna umuhimu wa kuwa na edit history ya post kwenye forum Maxence Melo
 
Kesi haiozi aisee.
 
Kosa miaka 20 iliyopita, watumiwa miaka 30, 32 na 34; maana yake walikuwa miaka 10,12 na 14. Okay
Someni vizuri na muelewe hapa mbona wamebainisha kabisa....


Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao ulivyokuwa wakati wa tukio ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Kwa maana hiyo kwa sasa watuhumiwa wanamika 54,52na 50 kwa sasa

Quote
 
Kosa miaka 20 iliyopita, watumiwa miaka 30, 32 na 34; maana yake walikuwa miaka 10,12 na 14. Okay
Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao ulivyokuwa wakati wa tukio ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.


Jitahidi kusoma between the line kiongozi wangu. Nadhani hakuna utata wa aina yoyote katika hili. Maana yake ni kwamba, chukua umri wa kila mtugumiwa kwa wakati huu, kisha jumlisha miaka 20 ili upate umri halisi wa sasa wa kila mtuhumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…