Twenty years, kwa hiyo waliua wakiwa na miaka 14, 12 na mwingine 10?Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao wa sasa Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Walikuwa watoto, kuna uwezekano kabisa kuwa marehemu nae alikuwa mtoto mwenzao.Shangaa wewe
Soma vizuri yaliyoandikwa. Mwandishi amesema kabisa umri wa watuhumiwa wakati wa tukio ulikuwa kadha wa kadha.
Wabongo kwa kudandia story juu juu hawajambo.
Kuna mdau ameshawajibu hapo juu. Mtoa mada hakuandika hivyo mwanzoni! Baada ya kumshangaa, ndiyo aka edit. Kwa hiyo kama ni kukurupuka, basi alikuwa Mtoa mada, na siyo sisi.Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao ulivyokuwa wakati wa tukio ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Jitahidi kusoma between the line kiongozi wangu. Nadhani hakuna utata wa aina yoyote katika hili. Maana yake ni kwamba, chukua umri wa kila mtugumiwa kwa wakati huu, kisha jumlisha miaka 20 ili upate umri halisi wa sasa wa kila mtuhumiwa.
Ali edit baadaye! Ila mwanzo hakuandika hivyo.Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao ulivyokuwa wakati wa tukio ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Mna haraka sana au hamjasoma mada?
kwani alikufa? angekufa ndiyo mngeharibu hayo makaburi sasa hajafa na hataki kuja kushtaki amekaa tu mhuko kwa bwana zake nani afanye uchunguzi wakati yeye hayupo?Waliojaribu kumuua Lissu tutaharibu makaburi yao kama wamekufa.
Mwandiko huwakilisha uhalisia wa mwandikaji.kwani alikufa? angekufa ndiyo mngeharibu hayo makaburi sasa hajafa na hataki kuja kushtaki amekaa tu mhuko kwa bwana zake nani afanye uchunguzi wakati yeye hayupo?
Taarifa mkanganyiko, labda tufahamu umri wa marehemu wakati wa tukio.Kwahiyo hao watoto wa miaka 10, 12 na 14 waliweza kumuua mwanamke na kuutupa mwili kuficha ushahidi? Mnatuona sisi mazezeta sio?
Wewe ndio hujasoma, wamesema huo ndio umri wao wa sasa, soma tenaAliwataja watuhumiwa hao na umri wao ulivyokuwa wakati wa tukio ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Mna haraka sana au hamjasoma mada?
...Swala la kuwa na mwili Ni asili tu Kuna madogo was miaka 2004,2005 na 2006 ukiambiwa ndo miaka waliyozaliwa na miili yao unaweza ukabishaWatoto wa miaka kumi na nne,kumi na tatu miaka 20 iliyopita walikuwa kidogo wana miili unaweza kusema ni sawa tu na watoto wa form 3 miaka hii hivyo akili ya kutenda jinai hiyo wanaweza kuwa nayo na hata akili ya kusema tufiche mwili wanaweza kuwa nayo vilevile,miaka ya 80 tukiwa bado wadogo kuna mtoto mwenzetu mtaani alimpiga teke la tumbo mwenzie na kumuua tukiwa tunacheza tu kiutaniutani hivyo labda tusikie mazingira ya kifo yalikuwaje kwa wenzetu
Senkyu vere maache!Unajitahidi unamzidi Shishi aliyesoma British nn sijui pale.
Hawa wameuziwa kesiJinai haiozagi
Ova
Kabisa kuna watu wanabambikizwa kesi hukoNimeshangaa sana, kuna kitu hakipo sawa hapo
Walitenda kosa wakiwa watoto na hawakujulikana wala siri kufichuka!!!Aliwataja watuhumiwa hao na umri wao wa sasa kuwa ni; Rajabu Songo (34), kazi wa mtaa wa Machinjioni, Kata ya Mkuti Wilayani Masasi, Stanley Mtweve (32), Mkazi wa Mtaa wa Makaburini Kata ya Mkuti Wilayani Masasi na Yusuph Pahala (30), mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Kata ya Mkomaindo wilayani Masasi.
Ntamwambia unamwigizia km hakukuvulia lile wigi la afro shauri zako.Senkyu vere maache!