Watu watatu wafikishwa Mahakamani kwa kosa la mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita

Twenty years, kwa hiyo waliua wakiwa na miaka 14, 12 na mwingine 10?
Duh....
 
Polisi akili zao sometimes ni shida sana.

Sasa hao watahukumiwa kwa kufata sheria kua ni watoto au watu wazima??
 
Ni vile tu hapa tz mitandao ya kijamii imejazwa na posts za kijingajinga ndo zinazotrend.

Ila hii habari ni kioja cha mwaka ingetrend hatari. Hawa polisi wangenyooshwa na hii mitandao ya kijamii ila ndo ivo huko insta, fb na kwingineko ni upuuzi wa harmo na kajala tu
 
mbona hii habari ina ukakasi mwingi ?
kumbe ukiua bado mtoto unasubiria ukue ndio ukamatwe ?
 
Soma vizuri yaliyoandikwa. Mwandishi amesema kabisa umri wa watuhumiwa wakati wa tukio ulikuwa kadha wa kadha.
Wabongo kwa kudandia story juu juu hawajambo.
Kuna mdau ameshawajibu hapo juu. Mtoa mada hakuandika hivyo mwanzoni! Baada ya kumshangaa, ndiyo aka edit. Kwa hiyo kama ni kukurupuka, basi alikuwa Mtoa mada, na siyo sisi.
 
Ali edit baadaye! Ila mwanzo hakuandika hivyo.
 
Waliojaribu kumuua Lissu tutaharibu makaburi yao kama wamekufa.
kwani alikufa? angekufa ndiyo mngeharibu hayo makaburi sasa hajafa na hataki kuja kushtaki amekaa tu mhuko kwa bwana zake nani afanye uchunguzi wakati yeye hayupo?
 
kwani alikufa? angekufa ndiyo mngeharibu hayo makaburi sasa hajafa na hataki kuja kushtaki amekaa tu mhuko kwa bwana zake nani afanye uchunguzi wakati yeye hayupo?
Mwandiko huwakilisha uhalisia wa mwandikaji.
Usipo uthamini uhai wa mwenzako juwa hata uhai wa kizazi chako hauuthamini. Tunaishi kwa kutegemeana,hakuna mkamilifu. Tuishi tukiamini kesho yetu ni leo maana yajayo hatuyajui.
 
Kwahiyo hao watoto wa miaka 10, 12 na 14 waliweza kumuua mwanamke na kuutupa mwili kuficha ushahidi? Mnatuona sisi mazezeta sio?
Taarifa mkanganyiko, labda tufahamu umri wa marehemu wakati wa tukio.
 
Wewe ndio hujasoma, wamesema huo ndio umri wao wa sasa, soma tena
 
Kesi za aina hiyo zipo nyingi sana mtwara wakishafanya uhalifu wao wanakimbilia nchi jirani ya Msumbiji.
 
...Swala la kuwa na mwili Ni asili tu Kuna madogo was miaka 2004,2005 na 2006 ukiambiwa ndo miaka waliyozaliwa na miili yao unaweza ukabisha
 
Walitenda kosa wakiwa watoto na hawakujulikana wala siri kufichuka!!!
34-20=14
32-20=12
30-20=10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…