Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Kumuabudu Mungu ni wajibu sio ombi na kama unataka kubarikiwa ni lazima umtafute Mungu kwa bidiiKuhusu kusoma Bibilia hapo sijakuelewa maana tunachanganya kati ya vitu vya kubarikiwa na vitu vya kuwajibikia.
Unafikiria/unamchukulia Mwenye Mungu na kama binadamu!Unajua kabisa hadi sasa (2024) idadi ya Watu wote tuliopo Duniani ni Bilioni 8 na Milioni 200 halafu bado ukiwa Unasali ama Chumbani Kwako au Kanisani au Msikitini unamuorodheshea Mwenyezi Mungu lundo la mahitaji ukidhani atakuwa na muda wa Kukujibu yote.
Kuanzia sasa GENTAMYCINE nakufundisha jinsi ya Kusali kwa Mwenyezi Mungu na aweze Kukusikia na hata Kukubariki kwa haraka pia....
Jitahidi kila Siku kuomba Kitu kimoja tu unachoona ni cha muhimu Kwako na ukiona amekibariki na umekipata unaweza ukaongeza na kingine na uendelee hivyo hivyo utaona utakavyobarikiwa haraka.
Utakuta Mtu mmoja ndani ya Siku anaomba Mwenyezi Mungu ampe Kazi, Gari, Nyumba, Mke, Shamba na mengineyo akidhani Mungu ana muda wa kutosha Kumsikiliza Yeye tu na kuwaacha Wengine Bilioni 8 na Milioni 200 waliopo Duniani.
Kumuabudu Mungu ni wajibu sio ombi na kama unataka kubarikiwa ni lazima umtafute Mungu kwa bidii
Mithali 8:17
Lazima ujue mifumo ambayo Mungu anatoa baraka na mafanikio watu wengi wanaenda kanisani lakini hawajui mifumo sababu hawasomi biblia
Point namba mbili naikataa. Point namba moja ndo sababu.Du, Una uwelewa mdogo Sana wa Mungu.
Mungu huyuhuyu alieumba Galaxy 2 trillion, na kila galaxy kuna ma billion ya nyota, na baadhi ya nyota ni kubwa kuliko dunia yetu ashindwe kujibu Vimaombi vyako 10.
Vizuizi vikubwa vya maombi:
1) Uovu: Mungu hawasikilizi waovu
2) ULEGEVU: Watu wengi hawaombi kwa bidii
Wewe unayefurahia na kuhubiri kuumizwa Kwa watu Huwa unafanya hivi? Na je unajua kwamba Kila dhambi italipwa?Ni muhimu zaidi kabla ya kuomba ujipatanishe na kujitakasa kwa toba kwa Mungu, kwa mawazo, maneno na matendo,
ili hatimae roho mtakatifu afanye makao ndani yako, na kuhuisha nafsi yako ili iwe rahisi kwako kuskia na kutambua sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yako.,
Ooh hallelujah..
Na kwenye maombi ya mahitaji yako kwa Mungu,
Ni vema na muhimu zaidi kuonyesha dhamira ya matumizi ya unachoomba endapo utapewa; kama je, kitakua Baraka na Neema kwako na wengine, au kitakua ni anasa, kero na usumbufu kwa wengine?
Maana kuna mtu anaomba Mungu ampatie gari kwajili ya kuzunguka kwenye mabaa mjini kufanya ufuska na kusumbua wake wa wenyewe...
Mungu akufanikishe katika Mahitaji yako Aimen 🐒
Wewe ndio umeongea madini mkuu sio Kama huyo mpiga porojoDu, Una uwelewa mdogo Sana wa Mungu.
Mungu huyuhuyu alieumba Galaxy 2 trillion, na kila galaxy kuna ma billion ya nyota, na baadhi ya nyota ni kubwa kuliko dunia yetu ashindwe kujibu Vimaombi vyako 10.
Vizuizi vikubwa vya maombi:
1) Uovu: Mungu hawasikilizi waovu
2) ULEGEVU: Watu wengi hawaombi kwa bidii
Kwasababu ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu. Kwahiyo sio vibaya kutumia NguvuHuyo haombi, bali ànataka kuchukua ànachokitàka kwa Mungu kwa nguvu.
Bandiko lako linaonesha kuna miungu/ Miungu wengi sana, na wanazidiana uwezo.Unajua kabisa hadi sasa (2024) idadi ya Watu wote tuliopo Duniani ni Bilioni 8 na Milioni 200 halafu bado ukiwa Unasali ama Chumbani Kwako au Kanisani au Msikitini unamuorodheshea Mwenyezi Mungu lundo la mahitaji ukidhani atakuwa na muda wa Kukujibu yote.
Kuanzia sasa GENTAMYCINE nakufundisha jinsi ya Kusali kwa Mwenyezi Mungu na aweze Kukusikia na hata Kukubariki kwa haraka pia....
Jitahidi kila Siku kuomba Kitu kimoja tu unachoona ni cha muhimu Kwako na ukiona amekibariki na umekipata unaweza ukaongeza na kingine na uendelee hivyo hivyo utaona utakavyobarikiwa haraka.
Utakuta Mtu mmoja ndani ya Siku anaomba Mwenyezi Mungu ampe Kazi, Gari, Nyumba, Mke, Shamba na mengineyo akidhani Mungu ana muda wa kutosha Kumsikiliza Yeye tu na kuwaacha Wengine Bilioni 8 na Milioni 200 waliopo Duniani.
sina hakika kama wadau wamekuelewa gentleman,Wewe unayefurahia na kuhubiri kuumizwa Kwa watu Huwa unafanya hivi? Na je unajua kwamba Kila dhambi italipwa?
Wewe upotoshaye ukweli kwa manufaa ya watawala wanaodhulumu Haki na Haki ya kuishi unayafanya haya? Na kama unayafanya haya je unajua ya kwamba Mungu hadhihakiwi? Kwamba unaomba Msamaha halafu unarudia Yale yale?
Mungu katika dini inaeleza yupo katika nafsi 3 ....lakini katika imani Mungu ni mmoja (The creator). Chagua statement yako moja sahihi.Kipi kiswahili fasaha kati ya,
1.Roho wa bwana au roho ya bwana.
2.Tuko mbele zako au tuko mbele yako.
Nieleweshini enyi walumbi.
Mkuu umenifanya Nicheke kweli.Sasa mwingine akishaomba hajajibiwa siku ya kwanza, siku ya pilia anaomba akiwa na hasira na mashaka.
Nimecheka sana Mkuu.Sasa nimeelewa kwanini sipati mke na V8 kumbe nianze na kimojawapo.
Wacha V8 ianze ,mke atajileta tu
Thubutuuu.....Mke haombwi kwa Mungu. Unaoa yeyote, unamfanyia reconditioning kama magari ya Dubai
,Unajua kabisa hadi sasa (2024) idadi ya Watu wote tuliopo Duniani ni Bilioni 8 na Milioni 200 halafu bado ukiwa Unasali ama Chumbani Kwako au Kanisani au Msikitini unamuorodheshea Mwenyezi Mungu lundo la mahitaji ukidhani atakuwa na muda wa Kukujibu yote.
Kuanzia sasa GENTAMYCINE nakufundisha jinsi ya Kusali kwa Mwenyezi Mungu na aweze Kukusikia na hata Kukubariki kwa haraka pia....
Jitahidi kila Siku kuomba Kitu kimoja tu unachoona ni cha muhimu Kwako na ukiona amekibariki na umekipata unaweza ukaongeza na kingine na uendelee hivyo hivyo utaona utakavyobarikiwa haraka.
Utakuta Mtu mmoja ndani ya Siku anaomba Mwenyezi Mungu ampe Kazi, Gari, Nyumba, Mke, Shamba na mengineyo akidhani Mungu ana muda wa kutosha Kumsikiliza Yeye tu na kuwaacha Wengine Bilioni 8 na Milioni 200 waliopo Duniani.
Idiot.