GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Unajua kabisa hadi sasa (2024) idadi ya Watu wote tuliopo Duniani ni Bilioni 8 na Milioni 200 halafu bado ukiwa Unasali ama Chumbani Kwako au Kanisani au Msikitini unamuorodheshea Mwenyezi Mungu lundo la mahitaji ukidhani atakuwa na muda wa Kukujibu yote.
Kuanzia sasa GENTAMYCINE nakufundisha jinsi ya Kusali kwa Mwenyezi Mungu na aweze Kukusikia na hata Kukubariki kwa haraka pia....
Jitahidi kila Siku kuomba Kitu kimoja tu unachoona ni cha muhimu Kwako na ukiona amekibariki na umekipata unaweza ukaongeza na kingine na uendelee hivyo hivyo utaona utakavyobarikiwa haraka.
Utakuta Mtu mmoja ndani ya Siku anaomba Mwenyezi Mungu ampe Kazi, Gari, Nyumba, Mke, Shamba na mengineyo akidhani Mungu ana muda wa kutosha Kumsikiliza Yeye tu na kuwaacha Wengine Bilioni 8 na Milioni 200 waliopo Duniani.
Kuanzia sasa GENTAMYCINE nakufundisha jinsi ya Kusali kwa Mwenyezi Mungu na aweze Kukusikia na hata Kukubariki kwa haraka pia....
Jitahidi kila Siku kuomba Kitu kimoja tu unachoona ni cha muhimu Kwako na ukiona amekibariki na umekipata unaweza ukaongeza na kingine na uendelee hivyo hivyo utaona utakavyobarikiwa haraka.
Utakuta Mtu mmoja ndani ya Siku anaomba Mwenyezi Mungu ampe Kazi, Gari, Nyumba, Mke, Shamba na mengineyo akidhani Mungu ana muda wa kutosha Kumsikiliza Yeye tu na kuwaacha Wengine Bilioni 8 na Milioni 200 waliopo Duniani.