Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umewahi enda kaburini na kurudi kweli!!!! Ukakuta kuna utulivu!!!????Kama ulikuwemo kwenye hiyo Eicher ina maana na wewe bado hali ni tete. Nakushauri pambana. Hiyo ni hali ya kawaida kwa hapa duniani.
Hakuna sehemu watu hawapambani. Ni kaburini tu ndo utapata utulivu. Kama ni mkristo soma MHUBIRI 9:10
Upeo wako wakufikiri ni mdogoHabari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali.
Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.
Hapo wanakuambia bora maisha ya Dar kuliko kijijini walikotokaHabari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali.
Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.
Na hapo wengine wamekoswakoswa na mishale wakati wanakwapua hivyo walivyobebaMwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Sambamba na hilo una wategemezi wanaokutazama wewe kama msaada mkuu kwaoChangamoto ya pili ni huko nyumbani hatujui tutawaambia nini kuhusu muda mrefu tuliopoteza DSM na mifukoni hatuna kitu.
Huenda hii ndiyo sababu ya ile report ya CAG kuwa vile ilivyo, watu wanakwapua kupita kiasi wajilimbikizie kwakuwa future is unpredictable, wanapokwapuaa wanatengeneza ugumu wa mzunguko wa pesa na kusababisha maisha kuwa magumu kwa wengineUkienda India panda treni ka utapata nafasi hata kusogeza mkono na usiku watu wanalala mabarabarani kwani kuwa mitaa Serkiali inazuia magari yasipite ili walala hoi walale, nenda Nepal, Ufilipino yaaani kote. Labla nchi za scandinavia kama Norway, Denmark na kule Canada ndo watu wanaishi poa!!
We umegonga ngumi ya pua kwa adui.Mtoa mada yupo sahihi ila uwasilishaji wake una walakini kidogo. Asilimia kubwa ya watu wa Dar tunatafuta msosi kwanza mengine baadae.
La muhimu japo sio la kuzingatia wengi tunatamani kurudi nyumbani ila changamoto ya kwanza ni nauli yote kuipata Kwa pamoja.
Changamoto ya pili ni huko nyumbani hatujui tutawaambia nini kuhusu muda mrefu tuliopoteza DSM na mifukoni hatuna kitu.
Itaendelea.
Kwahiyo nisiwaambie kuwa mnapata tabu?Upeo wako wakufikiri ni mdogo
Observation na finding is vague samaHizo ni mishe kama zingine tu mbona? Hao ndio wapishi wa usiku mkiamka saa 12 au saa 1 mnapata supu
Watu wanafanya kazi wewe unasema wanateseka? Nchi gani duniani iliendelea kwa watu kulala tu nyumbani bila kuwajibika?Habari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali.
Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.