Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Hakuna lolote la maana linalopatikana kwa kulamba michirizi ya michuzi vidoleni ama masalia ya chakula zaidi ya uchafu.

Utakuta mtu mzima akila hata kama yuko peke yake lakini analamba vidole!

Unashangaa, kuna nini cha kushibisha anachoweza kulamba na kikakidhi zaidi ya matonge makubwa makubwa aliyobwia?

Nadhani "elimu ya meza" ifundishwe na mashuleni pia, wasiachiwe wazazi pekee.

Angalau hii elimu hutolewa majeshini pekee lakini hustaarabisha sana watu, sasa sijui hawa vijana wetu wa "mujibu" kama elimu hii hufundishwa!

Hakuna kero kubwa inayoteremsha hadhi ya mtu kama kula kijinga jinga bila staha!

Unawezaje mtu mwenye akili zako timamu, ukaanza kula njiani huku unatembea!

Kuna mengi ya kujifunza kuhusu ulaji.

Sote twaweza kuwa na dosari, lakini kula kwa kutafuna kwa sauti..."nyam nyam nyam".. huku ukitoa toa mate ni ushenzi mwingine unaofanywa na watu wasiostaarabika!
 
Hakuna lolote la maana linalopatikana kwa kulamba michirizi ya michuzi vidoleni ama amasalia ya chakula zaidi ya uchafu.

Utakuta mtu mzima akila hata kama yuko peke yake lakini analamba vidole!

Unashangaa, kuna nini cha kushibisha anachoweza kulamba na kikakidhi zaidi ya matonge makubwa makubwa aliyobwia?

Nadhani "elimu ya meza" ifundishwe na mashuleni pia, wasiachiwe wazazi pekee.

Angalau hii elimu hutolewa majeshini pekee lakini kustaarabisha sana watu, sasa sijui hawa vijana wetu wa "mujibu" kama elimu hii hufundishwa!

Hakuna kero kubwa inayoteremsha hadhi ya mtu kama kula kijinga jinga bila staha!

Unawezaje mtu mwenye akili zsko timamu, ukaanza kula njiani huku unatembea!

Kuna mengi ya kujifunza kuhusu ulaji.

Sote twaweza kuwa na dosari, lakini kula kwa kutafuna kwa sauti..."nyam nyam nyam".. huku ukitoa toa mate ni ushenzi mwingine unaofanywa na watu wasiostaarabika!
Kula njiani huku unatembea ni jambo la kawaida ndugu kwa dunia ya sasa ambayo suala la muda linachukua nafasi. Of course kuna aina ya vyakula huwezi kula ukiwa unatembea.
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
wewe ulienda kula au kuoa waache watu na mila zao
 
Nimeenda Nangurukulu nikakuta watu wanakunya pwani baharini.

Nimepita Muhoro mji unanuka mavi.

What are you talking about?
Mbona Nangulukuru ipo mbali sana na bahari??? Ipo 30 km kutoka Kilwa Masoko ambako bahari ipo. Au unasema Kilwa Kivinje?
 
Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Usipokuwa makini utaambulia maji ya kunawa tu.
Ugali moto mboga moto.
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti humu kwenye basi maana nasafiri kutoka mwanza na hawa majamaa.
kweli nimewahi kula ugali na hawa majamaa, yani ugali wa moto ila majamaa hayaungui mikono.
Unakata tonge lipoe jamaa anaondoka nalo
 
Hiyo Cha mtoto, niliwahi kufika singida vijijini, ugali unapikwa kwenye chungu tena ni WA vidude Fulani vipo kama mtama mwembamba ,unga unasagiwa kwenye jiwe, unaliwa na mlenda usioungwa. Chungu kikitoka jikono hawapakui,

Wanawake ni marufuku kula sehemu Moja na wanaume, hivyo chungu kinapelekwa Moja kwa Moja kwa wanaume tena anakisogeza akiwabali. Wanaume watalia humo humo mpaka wakishiba makombo ndio wanawake wanakwenda kula.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji849]
 
Ni kweli usemalo mkuu, kula kwa kulamba vidole ni dawa na kinga ktk magonjwa yatokanayo na kile chakula ulichokula, mfano mti akila marage landa anaumwa kichomo au kiungulia akifamya hivyo hawez kupatwa na hiyo shida au akila viazi vitamu au chakula Chochote chenye lumleltea shida
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Nkong'wa nzoka. Shenji
 
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti humu kwenye basi maana nasafiri kutoka mwanza na hawa majamaa.
kweli nimewahi kula ugali na hawa majamaa, yani ugali wa moto ila majamaa hayaungui mikono.
Unakata tonge lipoe jamaa anaondoka nalo
Unavaa gloves usiungue
 
Bora hao ndugu kuna watu wanaitwa wahutu, wakianza kula kwanza sheria ni lazma kama mnakula mfano ugali nyama ni kwamba nyama moja inaliwa na watu wote mkimaliza ndo mna anza kula nyingine kila mtu ana ivuta nyama na madole yake kwa sisi tusio na ustaarabu huo inatia kinyaa mbaka basi.
Alafu pia mtu akitoweza tonge kwenye mchuzi mboga kwa mfano anatosa midole yake kama koleo ndo anazoa miharage ma mchuzi yote yani yananawa kama mi maji na kujiramba ndo usiseme.
Hawa jamaa wanakula kichafu kuliko hao jaribu kuwafuatilia wanapatikana maeneo kama katavi, kigoma n.k mimi nimewahi kuishi nao nilikua nikijua na share nao chakula nilikua nawaza sana na mda mwingine hakuna alternative n lazma ule nilikua nateseka sana na mda mwingine unatumia lugha picha kuwaelekeza ila hawaelewi yan da.
Si jui kama kuna watu wachafu kwenye kura zaidi ya hawa jamaa. WAHUTU ni hatari[emoji4][emoji4][emoji4]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Pole jmn
 
Mbona Nangulukuru ipo mbali sana na bahari??? Ipo 30 km kutoka Kilwa Masoko ambako bahari ipo. Au unasema Kilwa Kivinje?
Ilikuwa vijiji vya karibu karibu hapo hapo kati ya Nangurukulu na Kilwa Kivinje.
 
Umeongea kitu cha maana sana mkuu,

Ujue kila jamii hua ina tamaduni zake,na kila jamii huona au huamini tamaduni zao ni bora kuliko tamaduni za wengine.
Kabisa,waTanzania wengi wamejaa majivuno ya kishamba tu,ni sawa na mtu yuko Dar utamsikia anawaita wengine eti huyu wa mkoani,ukimchunguza ye mwenyewe siyo wa Dar,unakuta katoka Ngara vijijini huko,lakini anawaita wenzie kwa dharau eti watu wa mikoani wakifika Dar ni washamba
 
Habarini ndugu zangu kiufupi tabia ulizozitaja hapo juu ni baadhi ya mapungufu ya mila na destuli zetu waafrika ikiwa ni pamoja na kuchangia maji ya kunawa kabla na baada ya chakula, kula kwenye sahani moja n.k suala la kuramba vidore kwa jamii uliowaangushia zigo lote la madhaifu lipo na linatokea kwa familia na familia sio wote napata shida kuelewa asili ya chakula cha wasukuma ambao ni ugali viazi mihogo na hoja yako ya kulamba vidole pengine kidogo unge quote jamii za kiislamu mana wao kulamba vidole ni suna, Yote kwa yote niwaombe kama unatoa mada kwa maana ya kuelimisha jamii we elimisha kwa ujumla kwamba tabia hizi sio nzuri sio unatafuta wa kuwaangushia jumba bovu kwa weakness ambazo zipo kwenye jamii tofautitofauti ikumbukwe ustaarabu wa kila mtu na sahani yake hivi vitu tumevipokea kutoka kwa jamii za wenzetu
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Naunga hoja
 
Hapo ungevumilia tu au ungekula kidogo ukaekti umeshiba ukanawa kuliko kuomba msosi wako nnavyowajua hao watu watakususia wanaweza wasikutembelee au wakikutembelea wakasusia chakula.
 
Back
Top Bottom