Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Usukumani ndani ukienda wewe usie msukuma wanakuita mswahili,wali unaliwa Kama ugali sinia kubwa sahani ya mchuzi juu.Mimi mara ya kwanza nafika huko nilishindwa kula ugali na mlenda nilikua sijazoea kula mlenda.
 
Chakula kinakuwa na baraka.
Nimetembelea nchi moja ya kiarabu na familia moja ya kimaskini.
Wakati wa kula hasa chakula cha mchana ni lazima wasubiriane. Huwa wanapanga nyumba ya kula.Leo kwa fulani kesho kwa fulani.
Juu ya umaskini wao ni watu wenye afya nzuri kuliko sisi huku tanaokula sufuria nzima ya sembe peke yetu.
Kuna kula pamoja kwa maana familia inakusanyika mezani kila mtu anakuwa na sahani yake na chakula chake,kula pamoja ambako sikukubali ni ile kutia mikono 10 kwenye kibakuli kimoja kila mtu anapeleka Tonge kinywani mwake kisha mkono unarudi kwenye bakuli una matemate
 
Wasukuma hawapo wa aina moja.

David Kidaha Makwaia, Francis Nyalali, Paul Bomani, Andrew Shija, John Momose Cheyo, John Rubambe, Bob Makani, Marcel Komanya, Musobi Mageni, Balozi Nhigula just to name a few, hao wote ni Wasukuma, nimekula nyumbani kwao, the best meals with the best table manners. All types of cuisines.

Nyie mnakwenda kwa watu masikini huko halafu mnachafua Wasukuma wote kwa stereotype za watu masikini, ambao wote mnakula ugali wenye wanga mtupu usio na virutubisho, mkizungukwa na nzi wasiohesabika huko Tanzania.

Acheni stereotypes.

Wasukuma are more than seven million strong, na pia kuna kila aina ya Wakonongo wanaolowea Usukumani kina Magufuli hawa wanajiita Wasukuma, you can't possibly stereotype us and still be accurate.

Njoo kwetu Mwanza, Shinyanga, Mbezi Beach, Oysterbay, New York, New Jersey, DC Massassuchetts, London and all over the world nikuoneshe Wasukuma wanavyokula.

Acha ku steteotype watu kwa kutumia kigezo cha subset ya wenye umasikini na kukosa elimu.

Tukianza kwenda hivyo, ninaweza kusema wabongo mlio Tanzania bado mnakula mavi, ndiyo maana bado mnasumbuliwa na kipindupindu mpaka leo.
Unaona kuishi marekani ni ujanja au ni achievement ushamba na ulimbukeni unakusumbua sana
 
Kuna kula pamoja kwa maana familia inakusanyika mezani kila mtu anakuwa na sahani yake na chakula chake,kula pamoja ambako sikukubali ni ile kutia mikono 10 kwenye kibakuli kimoja kila mtu anapeleka Tonge kinywani mwake kisha mkono unarudi kwenye bakuli una matemate
Mbona fresh tu na ndio tumekua tukifanya hivyo hadi sasa. Ile ni nzuri na inaleta umoja, furaha na amani ndani ya familia. Alafu sikuwahi kujua kuwa kuna mikono inakuwa na matamate hadi kuona kwenye comment yako.
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Mtu mzima hovyo! Kwa akili zako hizo za kenge unahisi ni wangapi wenye tabia hizo wako huku jf
 
Wewe kwenu wapi?😁😆, tambua tu kuwa suala la kula pamoja ni kipengele sana mkuu. Kuna sehemu hapa hapa duniani ukila kwa mikono unawatia kinyaa.

Usiombe pia kula biriani na watu ambao hawako katika huo ustaarabu, uone anavyorudisha kile alichochota kisha kula kikabaki baki katika kiganja na kukirusha katika sahani kisha kikarudi katika sinia zima. Lakini hii haitoshi kuiita tabia ya watu wa kanda ya Pwani😆
Sisi kwetu chakula cha pamoja kinanoga tena pasipo vijiko mwendo wa kunyaga tu kwenye sahani kila mtu apambane ili awai kushiba 🤣🤣🤣na tushazoea
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Watu wengi duniani ulaji wao mbaya sio kanda ya ziwa tu ndio maana jamii ya watu weupe wakawa tabia ya kila mtu na saani yake

Mfano mtu mzima anaenda kunawa bombani au anamwagiliziwa maji mikononi hili anawe kisha akale ananawa kwa mkono 1 yaani anajipaka maji tu bora kila mtu ale kwa saani yake tu
 
Kuna kula pamoja kwa maana familia inakusanyika mezani kila mtu anakuwa na sahani yake na chakula chake,kula pamoja ambako sikukubali ni ile kutia mikono 10 kwenye kibakuli kimoja kila mtu anapeleka Tonge kinywani mwake kisha mkono unarudi kwenye bakuli una matemate
Hata hiyo nayo haina shida iwapo kila mmoja amenawa vizuri kabla ya kula
 
Vuka nenda Musoma jamaa wa kule huwa hawaoshi samaki vizuri wanakula na shombo yake alafu wakimaliza kula hawanawi vizuri pia unaweza kupanda daladala inanuka shombo ya samaki na haijabeba samaki kumbe abiria hawajanawa na sabuni
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Yaan wewe ungekuwa shemeji yangu ningekupiga makofi Kwa aina yoyote Ile ningekulazimisha ujae kwenye 18 zangu halaf ungesimulia yaan umepewa mke unakuja kutusema hapa ?? Una akili kweli wewe mokwe
 
Kusema kweli watu wa kanda ile ni kinyaa kweli wakati wa kula!
Utakuta mtu anakula huku anatafuna kwa mdomo wote kuachama!
Kibaya zaidi akiwa anaongea huku anatafuna na kuchokonoa meno!
 
Back
Top Bottom