The less you know the betterWenye furaha ni wale ambao hawakusoma, hawadhibitiwi na muda au mafanikio. Hawazi mambo mengi au makubwa. Kukicha ndo anawaza afanye nini kwa wakati huo. Wanaoongoza kwa Stress ni waliosoma angalau kuanzia diploma na kuendelea, ni full stress.
We live tomorrow madam, amini hivyo!!Uko sahihi.
The future is now....
Tunaposema najenga nyumba nzuri najiandaa na future hiyo future ni lini?maana ikiisha tunaanza kuishi now..
Nieleweshe,,,hicho kitu huwaga najiuliza sana kesho naonanaga ni leoWe live tomorrow madam, amini hivyo!!
Yaani unawekeza, unajenga, unazaa na unasomesha, unafanya savings ili tu kesho uishi. Otherwise ungeishi kama ndege wa angani.Nieleweshe,,,hicho kitu huwaga najiuliza sana kesho naonanaga ni leo
Basi vichaa ndo wanafaraha maana haiwezekani mtu timamu usiiwazie kesho yakoIn this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusio,n kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilakaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Harafu ndo upate furaha ukiwa na njaaTufanyaje Sasa hapo...
Maana tusipowaza ya kesho utaamka ukoroge uji....hata chumvi ya kutia umo ukose
Sijawahi kuelewa Hili somo..kwani ukijenga nyumba utaiweka uje ukae hiyo future mnayoisema?Si ndio naanza nayo Moja Kwa Moja au ?Yaani unawekeza, unajenga, unazaa na unasomesha, unafanya savings ili tu kesho uishi. Otherwise ungeishi kama ndege wa angani.
Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri huwa wanaishi kwa raha sanaIn this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusio,n kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilakaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Hahahah nafwaHarafu ndo upate furaha ukiwa na njaa
Yaani Kuna watu wako hivyo...hawazi kabisa...Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri huwa wanaishi kwa raha sana
Kuna mwamba anaitwa Bujibuji, alishawahi kunifundisha hili siku tuliyokutana kwa mara ya kwanzaIn this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusio,n kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilakaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Unazaa ili kutengeneza generation yako, miaka 100 ijayo utakuwa bado unaishi kupitia vizazi vyako.Sijawahi kuelewa Hili somo..kwani ukijenga nyumba utaiweka uje ukae hiyo future mnayoisema?Si ndio naanza nayo Moja Kwa Moja au ?
Nadhani Mwandishi kamaanisha usiipe nguvu Kesho then ukainyima Nguvu leo yako.Basi vichaa ndo wanafaraha maana haiwezekani mtu timamu usiiwazie kesho yako
Huenda hujawa na majukumu makubwa, yakija tu uataacha kuishi hivi.Hatimaye nimefikiwa, this is soo me
Na hao ndo wanaishi Maisha mazuri hapa Duniani.Yaani Kuna watu wako hivyo...hawazi kabisa...
Na Kuna wengi kuwaza hakuepukiki
Ninayo.....Huenda hujawa na majukumu makubwa, yakija tu uataacha kuishi hivi.