Angalau nimekuelewa hapa...Unazaa ili kutengeneza generation yako, miaka 100 ijayo utakuwa bado unaishi kupitia vizazi vyako.
Unajenga ili kuusitiri uzee wako, now una nguvu za kutafuta, unaweza kuishi kwa kutumia wallet yako, ila kwa sababu ya yasiyojulikana, 60s yako unaijenga leo.
I know unaishi kesho....🤣Angalau nimekuelewa hapa...
Kesho ya watoto? Huitafuti leo?Ninayo.....
Huenda hujawa na majukumu makubwa, yakija tu uataacha kuishi hivi.
Kesho is delussion huwa haipo wewe Usiache stay positive Muda huu maana Hakuna hata siku moja utajikuta unaishi Kesho Bali leo now.Kesho ya watoto? Huitafuti leo?
Kweli mkuu upo sahihi hata tajiri akikumbuka umasikini wake anaumia Sana na akiwaza Kesho Sana kuhusu Kesho anaweza pata hofu.Very true!! Watoto wadogo na vichaa hawa wanaishi kwa furaha ....Ingekuwa vizuri watu wakafuta kumbukumbu za nyuma zote zinaumiza sana.
Hata tajiri kuna kipind akikumbuka maisha ya umaskini kama ndipo alipotoka anaumia sana.
Asante kwa kuandika nilichotaka kuandika.....@ERoni jibu ni hili mkuuKesho is delussion huwa haipo wewe Usiache stay positive Muda huu maana Hakuna hata siku moja utajikuta unaishi Kesho Bali leo now.
Habari za past na future zipo setup na Akili ya binadamu ili kutafuta utofauti katika Mambo lakini Binadamu anabidi kuishi leo iliyo Bora now
Wewe umenena japo sio wote ila kwa kiasi kikubwa wana furaha.Wenye furaha ni wale ambao hawakusoma, hawadhibitiwi na muda au mafanikio. Hawazi mambo mengi au makubwa. Kukicha ndo anawaza afanye nini kwa wakati huo. Wanaoongoza kwa Stress ni waliosoma angalau kuanzia diploma na kuendelea, ni full stress.
Kwa kweli,naipambania😁I know unaishi kesho....🤣
Sio Kweli kabisa binadamu wa kweli ni yule aliofikiri jana na leo na kesho hicho ndio kipimo cha binadamu ama mtoto mdogo hana choice ndio maana kazi yake kubwa ni kucheza sababu bado mdogo.In this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusio,n kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilakaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Jibu lake halijakaa sawa hata kidogo, wanaoishi leo ni ndege wa angani tu!!Asante kwa kuandika nilichotaka kuandika.....@ERoni jibu ni hili mkuu
Hiyo past na future imetengenezwa na Akili ya binadamu ili kutafuta utofauti katika Mambo ya Ulimwengu . Hakuna hata siku moja utajikuta upo past au upo future so chochote unachokihitaji kipo wakati huu now .Jibu lake halijakaa sawa hata kidogo, wanaoishi leo ni ndege wa angani tu!!
Nakubaliana na hoja yako hakuna la ziada hapo.Sio Kweli kabisa binadamu wa kweli ni yule aliofikiri jana na leo na kesho hicho ndio kipimo cha binadamu ama mtoto mdogo hana choice ndio maana kazi yake kubwa ni kucheza sababu bado mdogo.
Ata ukifikiri kesho una jisumbua tu lazima uishi wakati uliopo , ukifikiri kesho bila kuishi Leo utajikuta ata hiyo kesho hauiishi unafikiri kesho kutwa hivyo hivyo na kuendelea mwisho wa siku unakufa bila kujua ulikuja kuchukua nini kwa sababu uliishi maisha ya kufikirika.Sio Kweli kabisa binadamu wa kweli ni yule aliofikiri jana na leo na kesho hicho ndio kipimo cha binadamu ama mtoto mdogo hana choice ndio maana kazi yake kubwa ni kucheza sababu bado mdogo.
...Na tunahifadhi Hela zetu Benki ili zitufae Kesho ! [emoji846]Sio ukweli kulingana na uhalisia wa maisha, tunalima mazao leo ili kesho tuvune.
Ni sawa kabisa mkuu Kuna kitabu kinabu kinaitwa STOP WORRYING AND START LIVING yaani ukikisoma utaona kabisa maisha ni takataka.In this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusion, kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilikaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Ndo ilivyo,vilqza wa kufikiri wakisha shiba tu basi.,Smarter akiwa anakula akijua hicho anacho kula kesho hatoeza kukipata basi hata kula hatoezaYaani Kuna watu wako hivyo...hawazi kabisa...
Na Kuna wengi kuwaza hakuepukiki
SanaaNa hao ndo wanaishi Maisha mazuri hapa Duniani.