Yes! Next qn?Wewe ni mweusi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes! Next qn?Wewe ni mweusi?!
Wewe ni mweusi?!actually mtu mweusi hapashwi kuishi , Mungu angeliwafuta kwenye uso wa dunia na kuwaumba bada ya miaka 1,000,000
Ongea kama msomi basi. 'tuna akili', thibitisha kwa mifano hai.Watu weusi tuna akili nadhani walioingia kwenye siasa na wanaotuongoza siyo wabunifu na uwezo wao haukidhi matakwa ya ofisi walizokalia
Kuna mahali nimeandika hapo kuwa omba kwa huruma.Mpumbavu ni yule anayetaka kuwapa watu wengine mali yake ili wamuendeshee halafu baadaye eti awaombe kwa huruma yao wamrudishie.
Hiyo akili hata ya sisimizi ni nafuu.
Kwani wewe sasa sio mtumwa wa mkoloni mweusi mwenzako ambae ni CCM au kwa uwezo mdogo wa kufikiri unadhani mkoloni ni mzungu tu.Ni akili ya mtu asiyefikiri kabisa na asiyejua siasa za dunia ndiye anayeweza kuona ili tuendelee inabidi tuwakabidhi nchi yetu wageni watutawale, kumkabidhi mgeni nchi yako ni sawa na kurudisha Ukoloni, Ukoloni maana yake wewe mwenyewe unakosa Uhuru na unakuwa mtumwa ndani ya nchi yako mwenyewe, (you wilingly become submissive to the colonisers), kuacha nchi yako kwa wageniwakutawale/wakuongoze haina tofauti sana na kumtoa rehani mkeo, sasa wehu wa aina hiyo tunatakiwa tuujibu kwa nasaha na taaradhi??!!
Akili ni nini?Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)
Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.
Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.
Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.
South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.
Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.
Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.
MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Ni kipi tulicho jifunza sasa? Je, kuwa ibia wananchi wako fedha na kuenda kuficha ulaya huku umasikini, ujinga na maradhi yaki wasumbua ?Mkuu Asiwaju, kwa hiyo unashauri kwamba sisi tunaweza tu tukatangaza tenda ya
Mkuu kwa hiyo sisi hatuna akili au akili zetu hazina virutubisho? Aidha huoni kwamba huenda sasa tumejifunza kutoka kwao na hivyo hatutarudia makosa.
Ww ndo mjinga na kilaza wa kutupa!! Nakutolea mfano tanzania ni miongoni mwa nchi zilizozungukwa na maji kila upande. Kuna maziwa makubwa kabisa Victoria, tanganiyika na nyasa, kuna mito mikubwa isiyokauka maji kwa mwaka mzima lkn nchi hii angalia watu wanavoteseka kupata maji kama vile tupo jangwani!Kwa uandishi huu kweli nimeamini wewe ni mtu mweusi na huna akili.
Uwaachie nchi kwa miaka 100 wakutawale halafu baada ya hiyo miaka ujipenyeze kuchukua utawala??!!--- kwa akili hiyo hata ya kuku inayo afadhali.
Katika hiyo Miaka 100 wewe hutakuwepo, na tayari itakuwepo generation nyingine na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii na mitazamo mipya kiasi kwamba hiyo azima ya wetu weusi kujipenyeza kushika madaraka ikawa ni ndoto ukizingatia kwamba madaraka yalivyokuwa matamu na ukute hao mliowakabidhi nchi wawe ni makatili/madikteta hapo ndio kabisa usahau kushika madaraka na utakuwa umejiingiza kwenye ukoloni/utumwa kwa kujitakia.
Turidhike na hali zetu na tujibidishe kwa kadiri tutavyoweza kwani akili hizi na uwezo wetu katupatia Mungu na wala sio kutokana na juhudi zetu binafsi, basi tusijidharau na kumkufuru Mungu kwani yawezekana hii hali yetu unayoiona dhalili labda ni makusudio fulani ya Mungu ambayo hatuyajui ambapo faida yake tutakuja kuiona bila kutarajia, isitoshe binadamu hatuwezi wote kulingana, hata maumbile yetu ni tofauti sasa hii ipo juu ya yule aliyetuumba.
Wazungu ndio wameendelea sana lakini hao ndio mashoga wa kutupwa na Uchafu wao huo wangependa kuuleta huku kwetu, ilmuradi hakuna zuri lisilokuwa na kasoro.
Jambo la ajabu na kukera kabisa hata uraia pacha hatutaki kabisa .
Kweli kabisaWw ndo mjinga na kilaza wa kutupa!! Nakutolea mfano tanzania ni miongoni mwa nchi zilizozungukwa na maji kila upande. Kuna maziwa makubwa kabisa Victoria, tanganiyika na nyasa, kuna mito mikubwa isiyokauka maji kwa mwaka mzima lkn nchi hii angalia watu wanavoteseka kupata maji kama vile tupo jangwani!
Nchi hii Ina ardhi kubwa sana yenye rutuba kwa ajili ya kilimo lkn safari uone ardhi inavostawisha vichaka tu! Je tatizo ni nn kama sio ukilaza wa mtu mweusi!
Nchi hii KM chache tu kutoka migodini kuna shule hazina vyoo wala madawati! Je hizi rasilimali tulizopewa zina faida gn? Ukweli ni kwamba mtu mweusi amelaaniwa na ni mjinga sana..