Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Mpumbavu ni yule anayetaka kuwapa watu wengine mali yake ili wamuendeshee halafu baadaye eti awaombe kwa huruma yao wamrudishie.

Hiyo akili hata ya sisimizi ni nafuu.
Kuna mahali nimeandika hapo kuwa omba kwa huruma.

Tuliza kichwa soma uelewa kabla ya kujibu.
 
Kwani wewe sasa sio mtumwa wa mkoloni mweusi mwenzako ambae ni CCM au kwa uwezo mdogo wa kufikiri unadhani mkoloni ni mzungu tu.

Afrika na Waafrika hawajawahi kuwa huru kama tuna nuka umasikini na ujinga, hakuna uhuru kwenye umasikini na ujinga. tabaka la watawala na watawaliwa weka kichwani hiyo.
 
Akili ni nini?

Mtu mweusi ni nani?
 
Mkuu Asiwaju, kwa hiyo unashauri kwamba sisi tunaweza tu tukatangaza tenda ya

Mkuu kwa hiyo sisi hatuna akili au akili zetu hazina virutubisho? Aidha huoni kwamba huenda sasa tumejifunza kutoka kwao na hivyo hatutarudia makosa.
Ni kipi tulicho jifunza sasa? Je, kuwa ibia wananchi wako fedha na kuenda kuficha ulaya huku umasikini, ujinga na maradhi yaki wasumbua ?
 
Ww ndo mjinga na kilaza wa kutupa!! Nakutolea mfano tanzania ni miongoni mwa nchi zilizozungukwa na maji kila upande. Kuna maziwa makubwa kabisa Victoria, tanganiyika na nyasa, kuna mito mikubwa isiyokauka maji kwa mwaka mzima lkn nchi hii angalia watu wanavoteseka kupata maji kama vile tupo jangwani!

Nchi hii Ina ardhi kubwa sana yenye rutuba kwa ajili ya kilimo lkn safari uone ardhi inavostawisha vichaka tu! Je tatizo ni nn kama sio ukilaza wa mtu mweusi!

Nchi hii KM chache tu kutoka migodini kuna shule hazina vyoo wala madawati! Je hizi rasilimali tulizopewa zina faida gn? Ukweli ni kwamba mtu mweusi amelaaniwa na ni mjinga sana..
 
Waafrika labda wanunue management ya kuwasimamia uchumi toka nje kama walivyofanya waarabu na sio hawa kula kulala, kwao uongozi ni ajira na sio wito
 
Waafrika labda wanunue management ya kuwasimamia uchumi toka nje kama walivyofanya waarabu na sio hawa kula kulala, kwao uongozi ni ajira na sio wito
Upo sahihi.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…