Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Tunasikitisha sana... Imagine Pascal Mayalla mayala akapate kura moja...
Maendeleo ya teknolojia yamefanya wanaadamu kuwa katika hali ya kushindwa kukabiliana nayo. Matokeo yake, wengi wamekata tamaa. Kuanzia nchi za dunia ya kwanza hadi dunia ya tatu tabia na mitazamo ya wananchi wengi inafanana.

Wanaadamu wengi wa sasa wanapenda masihara na vitu visivyoongeza tija katika maisha yao kama tulizo la usumbufu unaosababishwa na maendeleo ya kiteknolojia.

Ndio maana, mataifa yanayoelewa uhalisia huu. Haya mwachii mwananchi wa kawaida kuamua mambo yake binafsi achilia mbali mambo ya kitaifa.


Wajenzi jamii wanaelewa kizazi cha sasa kinapitia wakati mgumu pengine kuliko kizazi chochote kilichopita.

Mtoa mada kafika hatua mbaya kuelekea kujidhuru. 'Self denial' ni hatua ya mwisho kuelekea kujidhuru.

Nashauri mtoa mada anastahili kupewa huduma ya kisaikolojia mapema iwezekanavyo kabla hajaanza kushambulia mwili wake.
 
MUNGU alikuwa na makusudi ya kuibalance dunia, afrika ni kwa ajili ya raslimali za dunia


Vyovyote iwavyo Mungu anayo makusudio yake cha msingi ni kwamba tusikate tamaa licha ya shida tulizonazo tuzidi kupambana for the better.

Tusijishushe to the extent of humilition kwamba tuwachukue watu weupe na tuwape uongozi wa nchi zetu na pia tuwape wanawake zetu wazae nao ili eti tupate kizazi bora kwa faida ya nchi zetu, eti baada ya miaka 100 ya uongozi wao juu yetu TUJIPENYEZE na tushike uongozi.

Hayo ni mawazo Ya HOVYO ya mleta, mawazo ya mtu eti aliyesoma!!!😀😀
 
Vyovyote iwavyo Mungu anayo makusudio yake cha msingi ni kwamba tusikate tamaa licha ya shida tulizonazo tuzidi kupambana for the better.

Tusijishushe to the extent of humilition kwamba tuwachukue watu weupe na tuwape uongozi wa nchi zetu na pia tuwape wanawake zetu wazae nao ili eti tupate kizazi bora kwa faida ya nchi zetu, eti baada ya miaka 100 ya uongozi wao juu yetu TUJIPENYEZE na tushike uongozi.

Hayo ni mawazo Ya HOVYO ya mleta, mawazo ya mtu eti aliyesoma!!!😀😀
Hivi KWA msoto huu wanaopitia watu wa mateso tangu anazaliwa hadi anakufa huyu mtu akienda jehanamu kwake kipi ni kigeni,maana naona mateso haya ni zaidi ya hata kuzimu
 
Katika hao watu weupe unaowapenda na kuwaona ni bora sana kuliko mtu mweusi pia wapo Wahalifu, Mashoga, Wazinzi nk, sasa hebu niambie utafuata kigezo gani cha kuwapata hao rafiki zako weupe unaowapenda na uwakabidhi wawe viongozi katika nchi yako bila kuwapata wahalifu??

Lazima ukubali kwamba uhalifu pia upo kwa watu weupe.
Lakini uongozi wa akili haupo kwa mtu mweusi mpaka sasa.
 
Hivi KWA msoto huu wanaopitia watu wa mateso tangu anazaliwa hadi anakufa huyu mtu akienda jehanamu kwake kipi ni kigeni,maana naona mateso haya ni zaidi ya hata kuzimu


Mateso ya huko yapo chini ya hukumu na vipimo vya Mungu mwenyewe.
Ngoja nikupe mfano mmoja; mimi ni Muisilamu na ninaamini hadithi sahihi za Mtukufu mtume Muhammad (saw) ambapo anasema mtu akifa kwa ugonjwa wa tauni basi siku ya kiyama Mungu hatamuingiza mtu huyo motoni kutokana na madhambi yake (yasiyo ya kishirikina).

Kwakuwa ugonjwa wa tauni ni ugonjwa wenye mateso makubwa mno kiasi kwamba kama mtu atakufa kwa ugonjwa huo basi Mungu kwa huruma yake anamfutia mtu huyo madhambi na anamuingiza peponi, nimeleta hadithi hii ili ujue kwamba shida tunazopitia hapa duniani ni Mungu tu anayeweza kupima viwango vya shida hizo na yeye ndiye anayeweza kutusamehe au kutupunguzia adhabu siku ya kiyama basi tusikate tamaa bali tujibidiishe katika ibada na shughuli zetu za kujitafutia riziki.
 
Kama mtu mweusi kalaanika basi kuwapa nchi yetu watu wengine kuiongoza na sisi tuwe kama watumwa ndani ya nchi yetu hiyo itaongeza LAANA ZAIDI,

Kuitoa sadaka nchi au tuseme kuikodisha nchi kama Bodaboda/Bajaji kwa Wageni ni laana kubwa bali n iwendawazimu na huko ni sawa na kuuza uhuru na utu wetu kwa thamani ndogo.

Mimi sipingi mapungufu yetu ya kiuongozi katika nchi yetu ninachopinga ni njia mnayopendekeza ya kutanzua hayo matatizo ni njia ya kishenzi ambayo haijawahi kufanywa hata na nchi zilizowahi kuongozwa na wehu.

Jaribuni kupendekeza njia zingine na sio njia za kishenzi za kutelekeza uhuru na heshima yetu kwa Wageni huko ni kakaribisha utumwa.
Njia nyingine zipi ?
 
Nyerere alikuwa mzuri kwenye siasa na sio kwenye uchumi, hakuwahi zalisha bali alitumia akiba aliyoachiwa na wakoloni
Ideas zake zote zili fail bado akajifanya king'ang'anizi hata Lee Kuan Yew alivyo kuja hapa nchini alishangazwa na falsafa mbovu za mwalimu.
 
Key points ni kununua management ya kutuongoza toka nje kwa mkataba maalumu na sio kuwapa tena nchi hao wageni.
Hawa kula kulala kamwe msitegemee mabadiliko yeyeto itafika jubilee ya uhuru still zile shida toka uhuru zipo pale pale
Upo sahihi kabisa hizi taka taka zilizopo hazifai tena ni ujinga kuendelea kuzing'ang'ania.
 
Lakini uongozi wa akili haupo kwa mtu mweusi mpaka sasa.


Naomba unitajie ni njia gani utatumia kuwapata hao vipenzi vyako watu weupe walio safi ili uwakabidhi nchi yako watuongoze kwa miaka 100 na baada ya miaka hiyo 100 kuisha TUJIPENYEZE (sijui kama bado tutakuwa hai) katika uongozi, isitoshe nieleze ni kwa jinsi gani sisi weusi tutazaa na hao vipenzi vyako weupe ili tuwe na machotara weupe/weusi wenye AKILI za kujenga nchi kimaendeleo???
 
Kwahiyo hao Wazungu weupe na Waasia unaotaka waje wazae na dada yako ili upate kizazi bora ndio watakuondoa kwenye utumwa wa fikra??--- Wewe unadhani kila mtu mweupe ni bora sana kuliko mtu mweusi??.

Hivi wewe elimu yako ni ya darasa la ngapi??, tuanzie kwanza hapo kisha tuendelee.
Elimu yangu ni hihi nayo tumia kuandika hapa.

Elimu yako wewe ime jitofautisha vipi na kundi kubwa la sisi watu weusi ?
 
Maendeleo ya teknolojia yamefanya wanaadamu kuwa katika hali ya kushindwa kukabiliana nayo. Matokeo yake, wengi wamekata tamaa. Kuanzia nchi za dunia ya kwanza hadi dunia ya tatu tabia na mitazamo ya wananchi wengi inafanana.

Wanaadamu wengi wa sasa wanapenda masihara na vitu visivyoongeza tija katika maisha yao kama tulizo la usumbufu unaosababishwa na maendeleo ya kiteknolojia.

Ndio maana, mataifa yanayoelewa uhalisia huu. Haya mwachii mwananchi wa kawaida kuamua mambo yake binafsi achilia mbali mambo ya kitaifa.


Wajenzi jamii wanaelewa kizazi cha sasa kinapitia wakati mgumu pengine kuliko kizazi chochote kilichopita.

Mtoa mada kafika hatua mbaya kuelekea kujidhuru. 'Self denial' ni hatua ya mwisho kuelekea kujidhuru.

Nashauri mtoa mada anastahili kupewa huduma ya kisaikolojia mapema iwezekanavyo kabla hajaanza kushambulia mwili wake.
Huduma ya kisaikolojia wapewe watu weusi wote ili wapate akili za kuendeleza nchi zao.

Kwangu pekee haitoshi kwa kuwa haita kuwa na msadaa kwa taifa zima na bara zima tupewe wote tuondokane na hii hali.
 
Vyovyote iwavyo Mungu anayo makusudio yake cha msingi ni kwamba tusikate tamaa licha ya shida tulizonazo tuzidi kupambana for the better.

Tusijishushe to the extent of humilition kwamba tuwachukue watu weupe na tuwape uongozi wa nchi zetu na pia tuwape wanawake zetu wazae nao ili eti tupate kizazi bora kwa faida ya nchi zetu, eti baada ya miaka 100 ya uongozi wao juu yetu TUJIPENYEZE na tushike uongozi.

Hayo ni mawazo Ya HOVYO ya mleta, mawazo ya mtu eti aliyesoma!!!😀😀
Ni ujinga kuendelea kuji fariji kwa vimaneno vya kutia moyo kutokana na hali tulizo nazo.
 
Naomba unitajie ni njia gani utatumia kuwapata hao vipenzi vyako watu weupe walio safi ili uwakabidhi nchi yako watuongoze kwa miaka 100 na baada ya miaka hiyo 100 kuisha TUJIPENYEZE (sijui kama bado tutakuwa hai) katika uongozi, isitoshe nieleze ni kwa jinsi gani sisi weusi tutazaa na hao vipenzi vyako weupe ili tuwe na machotara weupe/weusi wenye AKILI za kujenga nchi kimaendeleo???
Vipenzi wa nani ?
 
Back
Top Bottom